Kingo Janta
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 319
- 262
Kambi ya JKT mgambo jana wamemalza mafunzo
Doooooooooooh!!!#website ya jkt imefunguka,amna jipya
Samahani mkuu naomba ufafanuzi kidogo. Mimi nilipitia jkt kwa mujibu miaka miwili iliyopita. Nahitaji kurudi jeshini sasa hivi. Je nifanyajeNaomben niwaambie vijana wenzangu sina haja ya kuwaficha najua jinsi gani mnavyohangaika usaili kama usail wilayani ni mwez wa 2 na tangazo litatoka tu kuweni wavumilivu.
Aisee hizi taarifa na mimi nimezisikia, labda kuna ukweli, ngoja nifuatilie.Nasikia cruiting imeanza kwa madaktari only makao makuu ya jwtz upanga kuna mwenye news za uhakika
JKT Wangetoa Tangazo wa2 2jue mzgo utatoka au hamna...Wadau mwaka huu hizi nafasi hazitoki labda Maana Kila mtu anasema lake Mara January Hii, Mara February wengine Mwezi sita na wengine Mwezi Wa Saba Duuu Ama kweli SIKILIZA WAKWAMBIE
Mzigo kutoka utatoka tuu ila hatujajua ni lini, lakini watu wengi wanasema ni mwezi wa pili.JKT Wangetoa Tangazo wa2 2jue mzgo utatoka au hamna...