Nafasi ya pili inatafutwa kwa kila namna hata kwa magoli ya offside

Smt016

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
2,456
3,363
Humu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo.

Leo Simba imepata point 3 kwa goli la offside, wakati Freddy Michael funga funga anapokea mpira alikuwa katika eneo la kuotea lakini mshika kibendera akaacha ili mradi timu kubwa iliyobebwa kwa viporo isishindwe kupata nafasi ya kwenda klabu bingwa.
 
Humu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo. Leo Simba imepata point 3 kwa goli la offside, wakati Freddy Michael funga funga anapokea mpira alikuwa katika eneo la kuotea lakini mshika kibendera akaacha ili mradi timu kubwa iliyobebwa kwa viporo isishindwe kupata nafasi ya kwenda klabu bingwa.
Umenikumbusha goli la mkono
 
Wachezaji wa Yanga wangekuwa wabovu na sio wapambanaji basi Yanga asingebeba ubingwa msimu huu. Simba alipewa ratiba ya kubebwa yaani leo ndio kwa mara ya kwanza ana level na wenzake kwa idadi za michezo.

Michezo miwili mfululizo ya Yanga waamuzi wanakataa magoli ya Yanga kwa kigezo cha offside wakati ukiangalia hakuna offside ila uzuri ni kwamba Yanga inashambulia kama nyuki muda wote hivyo swala la ku score ni jambo la kawaida kwao. Nimeshuhudia offside ya ajabu sana sijawahi kuona kwanzia nifatilie mpira, kwenye mechi dhidi ya Mtibwa mpaka kila mtu alihamaki.

Goli la leo ni la offside ya wazi kabisa.
 
Kiherehere hicho...... Fred Baba Lao..!

Kimsingi Fred bado hajaianza Kazi aliyoiijia Simba.
Hizi ni rasha rasha....Mvua Kamili inakuja
 
Na ubingwa nao wa kununua tu kadi nyekundu zinafutwa tu baada ya kupata point 3 magoli yanakayaliwa tu
 
Na ubingwa nao wa kununua tu kadi nyekundu zinafutwa tu baada ya kupata point 3 magoli yanakayaliwa tu
Kama nyie mlivyokubali kununuliwa kwa kufungwa 7-2 kwa ujumla, je kwanini wengine wasikubali kununulika? Hata Belouizdad, Medeama, Al Ahly na Mamelodi walikubali kununulika ili Yanga isifungwe.
 
Humu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo.

Leo Simba imepata point 3 kwa goli la offside, wakati Freddy Michael funga funga anapokea mpira alikuwa katika eneo la kuotea lakini mshika kibendera akaacha ili mradi timu kubwa iliyobebwa kwa viporo isishindwe kupata nafasi ya kwenda klabu bingwa.
Wahi kushitaki FIFA.
 
Back
Top Bottom