Wanaendeleza Mbinu Chafu Tusishangae Wakautwaa Ubingwa.

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
www.utopolo.co.tz
 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
Wahi Milembe!
 
Uto mmeanza sasa! Yan unataka kutuaminisha mayele kalogwa na simba apaishe ule mpira? Au saido kalogwa na simba amzuie djuma kupiga penalt na ampe mayele? Ghazwat
Scars
Mshana Jr ebu njoeni
muone hawa watu
wanavotabika! n cjui
kama game ijayo ikiwa
watadroo naiona safar
yakwenda kwa mama
kusema.
Simba mwana kulitaka, mwana kulipe.....?
Last kicks of a dying horse after butcher's sword has passed through the wind pipe...
 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
IMG-20220511-WA0706.jpg
 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
Hakikisha upesi sana unawahi Kitanda chako katika Wodi wa Wagonjwa wa Akili Mirembe Dodoma au Lutindi Tanga kabla hali yako haijawa mbaya zaidi.
 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
bilashaka mkuu huenda haujui nini maana ya football

kama ungelijua nini maana ya football usingeandika huu uzi

hivi kuna timu yeyote ambayo haina benchi la ufundi?

nini tafsir ya benchi la ufundi? kimsingi ni lazima utambue ya kwamba mpira hauchezwi ndani ya uwanja pekee

mpira ubachezwa ndani ya uwanja na nje pia, hata hiyo timu yako inafanya hayo mambo unayoyazungumzia sema tu ulozi umezidiana

kikubwa inatakiwa kamati ya ufundi ya timu yako ijitathmini wapi inapokosea ili iweze kujipanga upya

mpira unachezwa na waganga, timu pinzani kwa maana ya wachezaji na viongozi pia unachezwa na waamuzi

tofauti na hivyo vitu ubingwa kwa yanga utabaki historia

kwa hatua ya ligi ilipofikia, mechi yeyote ile atakayocheza yanga hivi sasa simba lazima nae aicheze

iwe kwa waganga, tff, waamuzi , wachezaji wa timu pinzani ama hao hao wachezaji wa yanga wanaweza kutumiwa kuihujumu timu yao
 

GSM Kasema Ikifungwa Utopolo Anaiacha Kabisa

Dodoma Jiji Nao Wanachukua Points 3 Kwa Yanga

 
Magoli yalofungwa jana tena kwa mara nyingine yamekua na utata...
Goli la kwanza kipa ameuangalia mpira ukitambaa mbele yake taratibu pasipo jishughulisha kuudaka,hadi unamfikia mfungaji anafunga kirahisi,anyway pengine ni mambo ya mlungula hatujui..tumeona hata wachambuzi half time wameongelea hili na wakasisitiza kipa analo la kujibu kwa goli lile.

Goli la pili ni clear offside.
Kibendera anapotezea na refa anaonyesha kati.wachezaji watatu wapo peke yao..

Mwamuzi wa kati anapuliza kipenga cha kwenda mapumziko wakati wachezaji wakiwa kwenye move wakiumiliki mpira wakishambulia na wakikaribia kuingia ndani ya box..

Toka majuzi nimeongea hawa watu wamejikita zaidi kwenye mbinu chafu za nje ya uwanja sababu kwa ndani ya uwanja wanajijua hawapo vizuri na uwezo hawana mechi karibu ya tatu sasa tunaona timu wanazocheza nazo zikimiliki mpira vizuri kwa kipindi kirefu ila ati wao ndio wanaibuka washindi!

Kinacho wabeba kwa sasa ni

1)Ulozi
2)kutumia Pesa either kwa waamuzi au Wachezaji wa timu pinzani
3)Msaada toka kwa baadhi ya waamuzi ili tu washinde mchezo husika.

Kwa mfuatiliaji makini atagundua kuwa hawa watu baada tu ya kutolewa kule Caf wamekuja na mikakati hiyo ili wachukue ubingwa kwa style hiyo
Na ndiyo kisa tokea mechi ya dearby walisharoga hii timu inayoongoza ligi iwe ngumu sasa kwao kupata goli..kitu ambacho waweza sema kwa 80% imeonyesha wamefanikiwa!

Jiulize timu inapata nafasi za wazi karibia kumi lakini zote either zigonge bomba hata kama ni mara mbili...au mchezaji anapata kigugumizi cha miguu,au mpira tu unapaa langoni katika hali ya kustajabisha!.mara mpira umeenda nyavu ndogo...unajiuliza iweje mambo haya yaje kutokea nyakati hizi?

Sasa cha kushangaza zaidi hii timu ambayo haipo katika form ndiyo sasa inapata ushindi....timu ambayo hata wao wanakiri safari hii imesajiri vizuri eti ndiyo inatoka bila goli mechi tatu mfululizo..!

Hii hali inatisha fikiria sana haya niliyoandika ifikirie pia video iliyosambaa juzi ikionyesha watu wanavyoroga wachezaji bora ati wawe wazito na wasifunge utaamini lisemwalo,haya mambo wametoka nayo huko caf walipotolewa ndiyo wamehamia huku kwa nguvu kubwa ili kulazimisha ubingwa.

Wito Viongozi wa timu nyingine tafuteni namna ya kupoozesha uchawi huu haraka vinginevyo tutaendelea kubaki midomo wazi kwa mshangao kwa yatakayotokea.
Asee, jamaa hajiamini, si unaongoza Ligi wewe?
Si hujapoteza mchezo wewe?
Kitaalamu huu unaitwa "Mhaho"
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom