kama aya madogo makubwa yakoje kamihanda mtarajiwawale waliokua wanasubiria second selection, bado nafasi 400 wanachuo waliofika ni 2600 wanatakiwa 3000 na kati ya hao 2600 kuna watu **** 17 wamefukuzwa kwa mapungufu madogomadogo kama mimba, vyeti nk mnaosubiria msikate tamaa
wale waliokua wanasubiria second selection, bado nafasi 400 wanachuo waliofika ni 2600 wanatakiwa 3000 na kati ya hao 2600 kuna watu **** 17 wamefukuzwa kwa mapungufu madogomadogo kama mimba, vyeti nk mnaosubiria msikate tamaa
Siyo kweli kabisa,acha uongo wewe mama,watu waliochukuliwa ni 278 tu,na wameshakwenda ccp jumapili iliyopita.Hakuna 2nd selection,budget ni ndogo polisi hawawezi kuajili watu 3000 kwa mpigo tena graduates,watawaweka wapi,haitakaa itokee katika nchi hii,kama unaambiwa mambo jaribu kufikiria na kuchambua hata kidogo.
polisi ni kweli hawana second selection na haitakuja tokea nchi hii kuajiri graduates 3000 kwa mara moja....unaposikia watu wamerudishwa kabla mafunzo hayajaanza basi ujue hizo ni nafasi za walimu wa ccp kuwaweka ndugu zao na dili na watoto wa vigogo. mambo mengi hamyajui kuhusu ajira za polisi,hv unajua unaweza kupita interview yao na siku ya safari ukafika sehemu ya kuanzia safari jina lako lisiitwe?mi niliuliza juzi swali umuhumu kuwa 2nd selection ni lini? Muungwana mmoja akanizodoa kuwa jeshi la police sio shule za kata kuwa na 2nd selectn, mara mwana wa Mungu mwingine anaibuka kuwa kuna selectn inakuja nyingine japo nina wacwac na figure yake, mwingine anakataa kuwa haiwezekani, hebu tupeniukweli jamani mana mnatutamanisha na huku mnatuvunja moyo
vipi nafasi ya rpc mwanza ipo wazi bado? Inatakiwa mtu mwenye tabia gani?
vipi nafasi ya rpc mwanza ipo wazi bado? Inatakiwa mtu mwenye tabia gani?
wale waliokua wanasubiria second selection, bado nafasi 400 wanachuo waliofika ni 2600 wanatakiwa 3000 na kati ya hao 2600 kuna watu **** 17 wamefukuzwa kwa mapungufu madogomadogo kama mimba, vyeti nk mnaosubiria msikate tamaa
wale waliokua wanasubiria second selection, bado nafasi 400 wanachuo waliofika ni 2600 wanatakiwa 3000 na kati ya hao 2600 kuna watu **** 17 wamefukuzwa kwa mapungufu madogomadogo kama mimba, vyeti nk mnaosubiria msikate tamaa
Wewe na sultani Jakaya hamna tofauti, wote ni mission town halafu mnapenda muziki na vitu lainiiii.Polisi? Hell No bora nibakie na utapeli wangu wa mjini huu huu na wikiendi naenda Fm academia nikienda kulala nasindikizwa na toto moja la bongo movies siku zinaenda
Kwa sasa nafasi hiyo anakaimu kamanda Lily, huyu mwanamama anadaiwa ni mshirikina mbaya, kwa sasa mumewe ni zezeta.vipi nafasi ya rpc mwanza ipo wazi bado? Inatakiwa mtu mwenye tabia gani?