mwana karibu sana hapa HALL 5 UDSM ukikosa saaana basi sio mbaya ukienda kwa watani wetu wa jadi hall 2, teh teh, ila pleaze usisahau kunibeba ukifika bana si unajua first year mnapata room kirahis rahisi,
usikubali kwenda hall 4 matozi kule na hall 6 teh teh, MABIBO HOSTEL haaa huko masharo wengi wako pande hizo hakunaga jipya huko teh teh!!