Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

Mkuu wewe hauamini nini sasa wanasayansi wako wanakili kuwa Venus ikijizungusha kwenye muhimili wake ni sawa na siku zaidi ya 240 za dunia sasa wewe unajuwa mbingu hipo wapi?? Hadi unaongea hvyo
 
Mtu akishasema kwa uelewa wake mdogo huwa ananipa shida sana kuendelea kusikiliza.
 
KVANT KUBWA,hongeza nyingine...
 
Njoja nijenge hoja

Mwaka 1 duniani ni sawa na miaka mingapi kwenye sayari ya Jupiter au pluto. Kwa maana ya Jua kuzunguka dunia au sayari ya pluto .

Ukishajibu hapo haishindikani mwaka 1 duniani kuwa sawa na miaka 1000 mbinguni!
Kwa mantiki hiyo hiyo unaweza kucalculate umbali kutoka duniani hadi mbinguni, sio???!!
 
Huwezi kuanza kuandikiwa dhambi kwa umri huo wa miaka mi3.
 
Jamani, Mbona naona Mbinguni imetawala? Mnaitoa wapi?
Nimesoma Zaburi hiyo ya 90:4 inasema kwamba, "Kwako miaka elfu moja ni kama siku moja tu, ni kama jana ambayo imekwisha kupita, kwako ni kama mkesha mmoja wa usiku"

Lakini pia hata hiyo Petro haisemi habari za mbinguni, ninyi wenzetu mnazitoa wapi?
2Petro 3:8 Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
 
Unapinga maandiko kwa kuweka upotoshaji mkubwa.

Bwana na akukemee
 
Mungu daima huzungumza na sisi binadamu ktk metaphorical sense ili tuweze kutambua Ukuu Wake.
Siku 1000 ni KAMA siku 1.
Neno KAMA limetumika kama ufananisho tu, si kitu real.
For your info, kule mbinguni hakuna jua wala mwezi. Hakuna mchana wala usiku, so hakunaga masuala ya time kule (Uf 22:5). Task iliyoko kule ni kuimba tu - haleluya, haleluya, haleluya... up to infinity bila kukoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…