steyn
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 372
- 82
Mwezi wa wote,Mwenzi ndio wako bossHata Mimi naipenda Sana hii. Pia Mimi na mwezi wangu huwa tunaitumia Sana hii
Mwezi wa wote,Mwenzi ndio wako bossHata Mimi naipenda Sana hii. Pia Mimi na mwezi wangu huwa tunaitumia Sana hii
nimelala peke yangu tangu nikiwa mtoto mdogo nilishaathirika na hiyo tabiaUna miss vitu vizuri. Siku moja inatakiwa ishushwe darasa la jinsi ya kulala na mwenzako
Wewe ke mkuu.... !mambo ya kidhungu ayo duh mi siwezi kulala na kuguswa na mtu akhaa bafuni tu ndo kuna mamlaka ya kuona ngizi yangu lakini si mupenzi chips ale na pia anilalie akha hahaaaa
Ukute bidada kashonea weaving linakaribia mwez kichwan na joto hl, hyo style huwez ipenda tena maishani.Kuna namna nyingi sana ya mke na mme ya kulala usiku na usingizi ukawa mnono kabisa. Kwanza kabisa ile sheria isiyo rasmi ya mke akiolewa hapaswi kulala na nguo lazima izingatiwe.
Mkiwa hamjavaa nguo mi naona style ya kulala mke na mme wote watazame upande wa ukutani yaan mke awe mbele kisha mme awe kwa nyuma huku mikono yake ikiwa imemkumbatia mkewe.
Hapo hutopata njozi mbaya sijui unakimbizwa na mazombi au unataka kuuawa la hasha utakuwa ukipata njozi za furaha na raha tele. Utaota upo na mpenzi wako marekani mnafanya shopping, Au mpo mbuga za wanyama mnatarii ai mmejenga ghorofa kubwa mtaan kwenu.
Si watu wote wanapenda kulala hivyo ninavyopenda mimi saidia comment yako tujifunze njia zingine nzuri za kulala kwa wapendanao.
mbona sentensi yako ipo katika wingiHata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
Hahahahaha!!Wai. Ukute mtu kala Mayai na maharage yake mchana hutapata usingizi asilani.
Hahahahaha!![emoji28] [emoji28] [emoji28] !! Ujafunzwa Kwamba Uiache Wazii[emoji12] [emoji12]
Hahahahahahaahahakama English figure sawa ila kama African figure nyuma kama TV ya kichogo halafu amekula maharage aachie ile remix utaruka na kulala style yako mwenyewe.
Ngoja sisi vibabu tukae pembeni,mambo ya vijana hayaKuna namna nyingi sana ya mke na mme ya kulala usiku na usingizi ukawa mnono kabisa. Kwanza kabisa ile sheria isiyo rasmi ya mke akiolewa hapaswi kulala na nguo lazima izingatiwe.
Mkiwa hamjavaa nguo mi naona style ya kulala mke na mme wote watazame upande wa ukutani yaan mke awe mbele kisha mme awe kwa nyuma huku mikono yake ikiwa imemkumbatia mkewe.
Hapo hutopata njozi mbaya sijui unakimbizwa na mazombi au unataka kuuawa la hasha utakuwa ukipata njozi za furaha na raha tele. Utaota upo na mpenzi wako marekani mnafanya shopping, Au mpo mbuga za wanyama mnatarii ai mmejenga ghorofa kubwa mtaan kwenu.
Si watu wote wanapenda kulala hivyo ninavyopenda mimi saidia comment yako tujifunze njia zingine nzuri za kulala kwa wapendanao.
Pajama sio shida, ila point pichu iwe pembeniHata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Pajama sio shida, ila point pichu iwe pembeni
Mkuu siku nyingine usikubali kuacha kalio juu, jitahidi dushe liwe linaangalia juuNakuunga mkono, hapa ni kukumbatiana nabkifanya yenu mkimaliza kila mtu na upande wake, wengine ili tulale usingizi lazima tumbo liwe chini!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]style nzuri ni kulala mzungu wa nne alafu unaingiza kichwa katikati ya mapaja ya mkeo,hapo lazima uote unatorosha mchanga wa madini ya dhahabu uchina
Mwee!! Sky kumbe bado hauja yaanza mambo yetu? Ndio maana una mwandiko mzuri sana kwenye comments zako.Tunza idumu mamaHata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.