kiyusa mwenge
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 113
- 66
Wewe lala chini mwingine juu utapata raha zaidi
Bila shaka ushaoa/kuolewa.......Inaitwa cuddling kwa kimombo[emoji125] [emoji125]
Nakuunga mkono, hapa ni kukumbatiana nabkifanya yenu mkimaliza kila mtu na upande wake, wengine ili tulale usingizi lazima tumbo liwe chini!Hivi inawezekana watu kulala wamekumbatiana na kupitiwa na usingizi?
Mi naona bora nilale kivyangu na style zangu
Aseeh... watu mnakula raha buana.
Ha ha ha bado mkuu. Nakaribia kuwa senior bachelor[emoji12]Bila shaka ushaoa/kuolewa.......
Huo utakua Uchochezi kulala na pyjamas?Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
Hahahahahahahha inawezekana tena unalala vzr tuHivi inawezekana watu kulala wamekumbatiana na kupitiwa na usingizi?
Mi naona bora nilale kivyangu na style zangu
Nguo mwisho wa matumizi muda wa kulala😀, kiprotokali mwizi akitokea anapaswa awangoje ninyi mvae pjama, ndio muanze kukimbizana😀. Fair chase.Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
Haha..Usijali ukikua mkubwa na wewe utaweza kufanya hivyo...
Anaweza kumfunga mume kamba na kukubaka.Nguo mwisho wa matumizi muda wa kulala😀, kiprotokali mwizi akitokea anapaswa awangoje ninyi mvae pjama, ndio muanze kukimbizana😀. Fair chase.
[emoji1][emoji1][emoji1]Kapicha jaman [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
mkuu mbona hivyo pia ni viwanda kama alivyoadress mkulu viwanda vya kufyatua watotoKwa style hii Tanzania ya Viwanda naiona ikisonga mbele kiilani
Aisee, umenikumbusha hapa mtaani kuna mmama walimfanyia ivyo Mme wake akajaribu kutetea na yeye wakamshughulikia.Anaweza kumfunga mume kamba na kukubaka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna namna nyingi sana ya mke na mme ya kulala usiku na usingizi ukawa mnono kabisa. Kwanza kabisa ile sheria isiyo rasmi ya mke akiolewa hapaswi kulala na nguo lazima izingatiwe.
Mkiwa hamjavaa nguo mi naona style ya kulala mke na mme wote watazame upande wa ukutani yaan mke awe mbele kisha mme awe kwa nyuma huku mikono yake ikiwa imemkumbatia mkewe.
Hapo hutopata njozi mbaya sijui unakimbizwa na mazombi au unataka kuuawa la hasha utakuwa ukipata njozi za furaha na raha tele. Utaota upo na mpenzi wako marekani mnafanya shopping, Au mpo mbuga za wanyama mnatarii ai mmejenga ghorofa kubwa mtaan kwenu.
Si watu wote wanapenda kulala hivyo ninavyopenda mimi saidia comment yako tujifunze njia zingine nzuri za kulala kwa wapendanao.
Hivi kumbe haujaolewa???Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.