Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,923
- 95,758
Nakuja kula pilau pamoja na kucheza kiduku!![emoji1][emoji1][emoji1]Ninaolewa J'mosi ijayo.
Nakuja kula pilau pamoja na kucheza kiduku!![emoji1][emoji1][emoji1]Ninaolewa J'mosi ijayo.
Hiyo ndo hasara ya kulala na mtu ambae humpendi!!Huwa nikilala sipendi kushikwa na chochote kile zaidi ya shuka tu
Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama English figure sawa ila kama African figure nyuma kama TV ya kichogo halafu amekula maharage aachie ile remix utaruka na kulala style yako mwenyewe.
Nguo zinatafutwa baada ya tukio kukamilika! Unakurupuka hivyo hivyo na suti yako uliyoshonewa na Mungu. Sababu ya hekaheka, hakuna mtu atakayekuwa na muda wa kukuangalia!! Ni nduki tuuuu!! Kwa kasi ya 4G[emoji125] [emoji125]Hata nikiolewa nitalala na pyjama zangu, mje mkurupushwe moto au mwizi ameingia unaanza kutafuta nguo, yakahusu.
Labda viwonder vya watoto!Kwa style hii Tanzania ya Viwanda naiona ikisonga mbele kiilani
Tuliyozoea kuloweka hii hapana! Bora nivae kaboksa!![emoji1][emoji1][emoji1]
Kama nakuona mkuu ukicheza ngoma ya makabila [emoji446] "[emoji445] bia zangu umekunywa! Utatoa? Hutoi?![emoji443]Nakuja kula pilau pamoja na kucheza kiduku!![emoji1][emoji1][emoji1]
mimi meWewe ke mkuu.... !
Swadaktaa[emoji122]Inaitwa cuddling kwa kimombo[emoji125] [emoji125]
Ndio ivyo mkuu tunapumulianaUnapumuliwa?? Dah
Siyo uchochezi nadhani ni kuficha sukari.Huo utakua Uchochezi kulala na pyjamas?
Itakuwa wewe ni mbahili sana.siwezi lala nikiwa nimegusana ngozi na mtu yeyote hata mpenzi wangu baada ya tendo naenda lala kwenye kochi kiukweli sipende ngozi yangu uguswe kwanza nalala na nguo bafuni tu ndo navua nguo zote khaa mambo ya kidhungu ayo