Nadhani si vizuri na haipendezi

Nadhani si vizuri na haipendezi

Shikamoon wakubwa

Wadogo zangu hamjambo!

Jamani si kila mtu ana njaa,au ana shida,si kila mwanamke anajiuza,kuuza mwili ni Aina na hulka ya mtu tu Marry Mimi siwezi ,napenda kuwa na mwanaume mmoja na kutulia naye, bahati mbaya hawapo pia unaishia kuumizwa na kuchukia mahusiano.

Tuachane na hili ,kuna mtu alinianzishia Uzi siku ya jumapili na kunisema Mimi Nina njaa ,najua huenda ni utani lakini unavyosambaza taarifa za uongo ni kwamba unamchafua muhusika na kuna baadhi hujikuta wanaamini

Uongo husambaa zaidi kuliko ukweli,tuheshimiane.
Kama mimi nilitaka nikupose marry ila nilivyosikia unanjaa nikaogopa coz njaa na ny*ge havikai nyumba moja
 
Kwani Merry wewe ni Mrembo?Unamaisha ama?Maana humu ndani ukshambuliwa sana ama ni Single Maza ama hujielewi.Kama unajielewa kuna watu watakuoa hata mke wa pili na watakupa maisha
 
Back
Top Bottom