Marry Diana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,418
- 4,113
- Thread starter
- #21
Una makosa mengi mno na lugha isiyokuwa nzuriEh kosa langu lipi tena mdada 😂
Una makosa mengi mno na lugha isiyokuwa nzuriEh kosa langu lipi tena mdada 😂
Siitwi mama kwakuwa sina mtotoKila ukitongozwa na maparody lazima uanzishe uzi, dada kutongozwa kwa mwanamke ni sifa nzuri sio mbaya wenzio wengine tunawapita tu hata salamu hatuwapi komaa kiakili kidogo unaitwa mama ujue
tunafatilia kwa ukaribu sana hili jamboWazee wa kamati 😂
Unaitwa mama kwakuwa wadogo zako au mlio rika moja wana watotoSiitwi mama kwakuwa sina mtoto
Hii si sababuUnaitwa mama kwakuwa wadogo zako au mlio rika moja wana watoto
Kama makosa yapi hayo na lugha ipi mbaya nmetumia?Una makosa mengi mno na lugha isiyokuwa nzuri
Ukiwa tasa hutaki kuitwa mama kisa huzaiHii si sababu
Marry umekuwa famous kiasi kwamba ukianzishwa uzi wa anonymous raia wanajua huo uzi unakuhusu wewe.Shikamoon wakubwa
Wadogo zangu hamjambo!
Jamani si kila mtu ana njaa,au ana shida,si kila mwanamke anajiuza,kuuza mwili ni Aina na hulka ya mtu tu Marry Mimi siwezi ,napenda kuwa na mwanaume mmoja na kutulia naye, bahati mbaya hawapo pia unaishia kuumizwa na kuchukia mahusiano.
Tuachane na hili ,kuna mtu alinianzishia Uzi siku ya jumapili na kunisema Mimi Nina njaa ,najua huenda ni utani lakini unavyosambaza taarifa za uongo ni kwamba unamchafua muhusika na kuna baadhi hujikuta wanaamini
Uongo husambaa zaidi kuliko ukweli,tuheshimiane.
Basi una genyeSina upweke
Naitwa Marry hili ndo jina langu sina lingineMarry umekuwa famous kiasi kwamba ukianzishwa uzi wa anonymous raia wanajua huo uzi unakuhusu wewe.
Ama kweli kuwa uyaone.
Au wewe ndiye yule cutelove wa Mwanza aliyepewa nauli ya 7200 miaka ile ya Magufuli.
SawaBasi una genye
Wee achana na MimiKama makosa yapi hayo na lugha ipi mbaya nmetumia?
Hatutaki maelezo mengi.Naitwa Marry hili ndo jina langu sina lingine
NdiyoHatutaki maelezo mengi.
Una matatizo ya akiliWee achana na Mimi
AsanteUna matatizo ya akili
Sio sawa kabisa na sitaki kuzisikia habari hizi nnavyojua mimi mahusiano yanajengwa ndani ya dakika 2 za mwanzo kabisa pale mnapokutana ndio unaweza kujenga unforgettable moment na pia unaweza ukaharibu mazima especially unapoleta utani wa kijinga tunaita bad jokes halafu umekesea timingUongo husambaa zaidi kuliko ukweli,tuheshimiane.
si kweli kwamba wanaume waliotulia hawapo,Shikamoon wakubwa
Wadogo zangu hamjambo!
Jamani si kila mtu ana njaa,au ana shida,si kila mwanamke anajiuza,kuuza mwili ni Aina na hulka ya mtu tu Marry Mimi siwezi ,napenda kuwa na mwanaume mmoja na kutulia naye, bahati mbaya hawapo pia unaishia kuumizwa na kuchukia mahusiano.
Tuachane na hili ,kuna mtu alinianzishia Uzi siku ya jumapili na kunisema Mimi Nina njaa ,najua huenda ni utani lakini unavyosambaza taarifa za uongo ni kwamba unamchafua muhusika na kuna baadhi hujikuta wanaamini
Uongo husambaa zaidi kuliko ukweli,tuheshimiane.
njooo basi tuyajengeSawa