The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Wengine tu watiifu lakini nyie wanaume wa siku hizi, tukiwatii mnatufanya ndio kama vile watumwa wenu. Mtu anakukosea unamsamehe, kesho anarudia, unamsamehe. Anazoea na dharau zinazidi. Siku nikiongea, mnasema mwanamke mjeuri. Chukulia maisha yako ni kioo. Kile unachofanya ndicho kioo kinachogeza. Ndivyo hivyo kwenye maisha. Ukinipenda, nitakutii na kukusikiliza. Ukinidanganya nitakudharau