VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 513
- 401
Wanakwambia congraturation your have been selected a certain course at certain college/institute
Ni wengi kaka imetutokea hiyoMtoa mada yuko sahihi mm kuna bwana mdogo nilimfanyia selection tarehe 31 july selection status ikaonyesha kuwa amechaguliwa ila nimefungua account yake imerudi kama mwazo yaani wait for selection
Sasa hapo nashidwa luelewa
Jamaa yangu ulikuta wapi mtu unaomba siku hiyo na kuchaguliwa? Akili ya kuambiwa changanya na yakoMtoa mada yuko sahihi mm kuna bwana mdogo nilimfanyia selection tarehe 31 july selection status ikaonyesha kuwa amechaguliwa ila nimefungua account yake imerudi kama mwazo yaani wait for selection
Sasa hapo nashidwa luelewa
apo xxNACTE yaamua kufuta uteuzi wa wanafunzi ambao waliokuwa tayari wameshachaguliwa kujiunga na vyuo ni wale wa second selection yaanza upya tena haiwahusu first selection
Hii elimu yetu sijui inaelekea wapi aisee yaani hawapo serious kabsa labda wamejishtukia kwamba walichagua wasiokuwa na sifa
Daah ii msg itanifanya ata niote leo maan...Nilienda ofisi za nacte kanda ya ziwa,kuulza kuhusu mustakabali wa undergraduate uko vp, majibu yao yakawa hivi
Tuendelee kua na subira mpaka watakapo pata idhini ya kutoa majina kwani udahili ulikua uko tayari na majina wanayo wanasubr serikali (tcu)iwakubalie tu kuyatoa majina hayo ya udahili wa awali kuanzia mwz wa tatu hadi wa tano... Waombaji hao watolewe tu majina yao ,ukizingatia walikua nje ya tamko au agizo la serikali kua wa diploma /equivalent wawe na gpa ya 3.5
Uote nn???Daah ii msg itanifanya ata niote leo maan...
saizi nasikia wamechukuliwa wa div 1 &2 onlyhii taarifa nimeipata asubuhi hii kwan kuna jamaa alikuwa ana div 3 ndo katemwa karudishwa kwny system manem