anthonysamanii
Member
- Feb 23, 2014
- 85
- 49
Zipo isamilo ghorofa refu sana,karibu na ofisi za jiji !!
Kwani ulikuwa umeteuliwa ukachukue dplm ya nn kijanaUdahili umefutwa
Mim nilichaguliwa adem ukaguzi SAS hiv nikianglia wamenirudsha kwenye mfumo nisubiri uteuzi
Diplom ya ukaguzi pale ademKwani ulikuwa umeteuliwa ukachukue dplm ya nn kijana
Mmmh namashaka na we mbona za wengine ziko poa tu we je inakuwaje kijanaDiplom ya ukaguzi pale adem
Bac tu vijana wanashabikia bila kuwa na evidence za msingi wapo tuLete chanzo chako
PLEASE CHECK ADMISSION STATUS:Hizi habari wadau mnatoa wapi mbona kama mnapotoshana sana. Udahili gani huo uliofutwa na nani kaja na ushahidi kuwa udahiliwake umefutwa?
.........DIPLOMA in pr imefutwa .......japo wenye mamlaka wajasema.........x,Mim naomba kuuliza kwenye system ya nacte diploma ya ualim in-service hakuna ila ukipiga sim vyuon wanasema nafasi zipo wazi tena nyingi tu na wanakubembeleza wakusajili bila kutoa elfu ishirin nyingine kama ulishalipia nacte. Sasa swali langu, kama vyuo vipo waz kwa nin kwenye system nacte wameondoa hii diploma?
Umeitoa wap.........DIPLOMA in pr imefutwa .......japo wenye mamlaka wajasema.........x,
habari ndio hiyo.......inarejeshwa certificateUmeitoa wap
Kama uliaply education ingia kwenye PROFILE utaonaHayo majina yaliyotolewa na NACTE mnayapataje? Tafadhari mwenye link au namna ya kuyapata anisaidie
Duuuh iyo kali vijana wamekwisha xx kwa hali iyoooooo[emoji15]habari ndio hiyo.......inarejeshwa certificate
jaman kuonesha umechaguliwa kwenye profile utaona niniMtoa mada yuko sahihi mm kuna bwana mdogo nilimfanyia selection tarehe 31 july selection status ikaonyesha kuwa amechaguliwa ila nimefungua account yake imerudi kama mwazo yaani wait for selection
Sasa hapo nashidwa luelewa