NACTE yaamua kufuta uteuzi wa wanafunzi ambao waliokuwa tayari wameshachaguliwa kujiunga na vyuo ni wale wa second selection yaanza upya tena haiwahusu first selection
Hii elimu yetu sijui inaelekea wapi aisee yaani hawapo serious kabsa labda wamejishtukia kwamba walichagua wasiokuwa na sifa
Hii elimu yetu sijui inaelekea wapi aisee yaani hawapo serious kabsa labda wamejishtukia kwamba walichagua wasiokuwa na sifa