NACTE, kufuta uteuzi wa wanafunzi ni kichekesho!

NACTE, kufuta uteuzi wa wanafunzi ni kichekesho!

mayestee

Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
97
Reaction score
32
NACTE yaamua kufuta uteuzi wa wanafunzi ambao waliokuwa tayari wameshachaguliwa kujiunga na vyuo ni wale wa second selection yaanza upya tena haiwahusu first selection

Hii elimu yetu sijui inaelekea wapi aisee yaani hawapo serious kabsa labda wamejishtukia kwamba walichagua wasiokuwa na sifa
 
nacte yaamua kufuta uteuzi WA wanafunzi ambao waliokuwa tayar wameshachaguliwa kujiunga na vyuo n wale WA second selection yaanza upya tena
hii elimu yetu cjui inaelekea WAP aisee yan hawapo serious kabsa lbd wamejishtukia kwamba walichagua wasiokuwa na sifa
Kweli hiki ni kichekesho!!!
 
hii taarifa nimeipata asubuhi hii kwan kuna jamaa alikuwa ana div 3 ndo katemwa karudishwa kwny system manem
 
sasa kaka ngoma imeanza upya lbd wamejishtukia nacte baada ya watu kupiga kelele
 
Hili ni tatizo la viongoz wetu hawafanyi mambo kwa wered na kupelekea malalamiko kuwa mengi miongon mwa wadau, kama wamejishtukia litakuwa ni jambo jema kwa waombaj maaana haki itatendeka
 
kwel haiwezekan MTU ana 3 anachukuliwa mapema kuliko mwny two na 1
 
Mim naomba kuuliza kwenye system ya nacte diploma ya ualim in-service hakuna ila ukipiga sim vyuon wanasema nafasi zipo wazi tena nyingi tu na wanakubembeleza wakusajili bila kutoa elfu ishirin nyingine kama ulishalipia nacte. Sasa swali langu, kama vyuo vipo waz kwa nin kwenye system nacte wameondoa hii diploma?
 
Mashauriano ya Baraza ( NACTE ) na TCU yataisha lini?? Ili walioomba degree kupitia NACTE wajue mustakabali wao.
 
Ambao index no zinasoma not found tufanyeje?
 
System bzy
 

Attachments

  • Screenshot_2016-08-01-07-15-44.png
    Screenshot_2016-08-01-07-15-44.png
    23 KB · Views: 94
Nilienda ofisi za nacte kanda ya ziwa,kuulza kuhusu mustakabali wa undergraduate uko vp, majibu yao yakawa hivi
Tuendelee kua na subira mpaka watakapo pata idhini ya kutoa majina kwani udahili ulikua uko tayari na majina wanayo wanasubr serikali (tcu)iwakubalie tu kuyatoa majina hayo ya udahili wa awali kuanzia mwz wa tatu hadi wa tano... Waombaji hao watolewe tu majina yao ,ukizingatia walikua nje ya tamko au agizo la serikali kua wa diploma /equivalent wawe na gpa ya 3.5
 
Kwanini wasizuiwe kudahili kama uwezo wao wa kufanya shughuli hiyo ni mdigo?
 
Back
Top Bottom