Kaka, hiyo nchi yako ...mabingwa wa kutatua na kuingilia migogoro ya nchi nyingine, kama jeshi la polisi tu ni weak ths much, nina mashaka sana na jeshi linalokimbilia kwenda 'kusafishia' jina kwa madreva bodaboda wenye mawe tu na petrol! Hii mikwara ya JW naombea iishie humu humu, tusijetia aibu ... wasiwasi wangu usjekuta hata MALAWI wakatupimia...
Kuna watu wasio na akili watasema ni vyama vya upinzani viko nyuma yao subiri wataanza kusema


