Nachingwea: Mabomu ya machozi yarindima mchana wa leo...

Nachingwea: Mabomu ya machozi yarindima mchana wa leo...

HA HA HA..!
JAMAA AMEKARIRI VIBAYA SANA,LOL..
:whistle: :whistle:

Ahh asitusumbue huyo anakalili kiingereza direct wakati hata wao kuna kkingerza cha UK. Britain na hadi sasa utasikia Nigerian English n Kenyan also...haya mambo ya lugha ni magumu sn tafsiri zake sn sio rahic kama anavyojifanya ye anajua.

After-all sio lugha yetu na ye sio yake anajiamini vipi ye yupo sahihi wakati hata wao wenye lugha wanasumbuana sana juu yamatumizi ya lugha yao same kwa kiswahili.

Hivyo asijifanye anafikiria kwa sn kwa lugha za watu..mie wala simjibu tena.
 
Halafu sasa unaonyesha jinsi ulivyokuwa hauna ubunifu, sasa The South Spring inahusiana vipi na Mtwara? Ungekuwa makini kidogo na kufikiri tu kwa mbali ungetafuta jina ambalo linaleta maana, kwani Mtwara hakuna spring kwa maana ya matumizi ya neno lenyewe, hivyo The south spring haina maana kwenye mambo ya Mtwara!


Shida mnapoteza muda mwingi kujifunza kiingereza na kila kitu kinaishia hapo, ukishajua Misamiati ukaikariri basi, lakini uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo haupo. Na ndio maana kila siku tunachekwa mbele ya uso wa Dunia!

Watu wanaotoa majina ya haya matukio hawafanyi bila sababu, ile iliitwa Arab Spring kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa Spring na huko Afrika ya kaskazini wana hiyo mifumo minne ya kuchanganua hali ya hewa yaani spring, summer, autum, winter kwa kama ingetokea wakati wa winter ingeitwa labda the Arab Winter, sasa kwetu mifumo yetu ni ya vipindi vya mvua Kiangazi, Kipupwe, Masika, hivyo kuiita Mtwara spring haileti maana yoyote kama mtu anataka kukopi 1-1 angalau angetumia vipindi vyetu vya mvua! Kufikiri kidogo saa nyingnine ni muhimu!

:der::der::der::crazy:😱hwell::A S 41::A S 41:
 
Police are despised by the population because they are extremly corrupt.They take bribe for each and every offence even murder cases.
 
Serikali janja janja.....watu washajua, hawana lolote, tehetehe tehe....!
 
Shida mnapoteza muda mwingi kujifunza kiingereza na kila kitu kinaishia hapo, ukishajua Misamiati ukaikariri basi, lakini uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo haupo. Na ndio maana kila siku tunachekwa mbele ya uso wa Dunia!

Watu wanaotoa majina ya haya matukio hawafanyi bila sababu, ile iliitwa Arab Spring kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa Spring na huko Afrika ya kaskazini wana hiyo mifumo minne ya kuchanganua hali ya hewa yaani spring, summer, autum, winter kwa kama ingetokea wakati wa winter ingeitwa labda the Arab Winter, sasa kwetu mifumo yetu ni ya vipindi vya mvua Kiangazi, Kipupwe, Masika, hivyo kuiita Mtwara spring haileti maana yoyote kama mtu anataka kukopi 1-1 angalau angetumia vipindi vyetu vya mvua! Kufikiri kidogo saa nyingnine ni muhimu!

Kweli??! Tafsiri gani hiyo? Ya maana au neno kwa neno?

The Arab Spring (Arabic: الربيع العربي ‎, al-Rabeeʻa al-ʻArabi) is a revolutionary wave of demonstrations, protests, and wars occurring in the Arab world that began on 18 December 2010.
To date, rulers have been forced from power in Tunisia,[1] Egypt,[2] Libya,[3] and Yemen;[4] civil uprisings have erupted in Bahrain[5] and Syria;[6] major protests have broken out in Algeria,[7] Iraq,[8] Jordan,[9] Kuwait,[10] Morocco,[11] and Sudan;[12] and minor protests have occurred in Lebanon,[13] Mauritania,[14] Oman,[15] Saudi Arabia,[16] Djibouti,[17] and Western Sahara.[18]
 
hii nchi itakombolewa na bodaboda na wamachinga
 
Najaribu kuwaza kwa kina itakuwaje jeshi nalo likishindwa? Sijui nasi tutaomba msaada kutoka A.U kupambana na bodaboda. Hahahahahaaaa, Tanzania zaidi ya uijuavyo.
 
Bado najaribukufikiri kama Arab Spring maana yake ni kipindi cha Spring kwa waarabu.

The cause:

The Arab spring is widely believed to have been instigated by dissatisfaction with the rule of local governments, though some have speculated that wide gaps in income levels may have had a hand as well.[45] Numerous factors have led to the protests, including issues such as dictatorship or absolute monarchy, human rights violations, government corruption (demonstrated by Wikileaks diplomatic cables),[46] economic decline, unemployment, extreme poverty, and a number of demographic structural factors,[47] such as a large percentage of educated but dissatisfied youth within the population.[48] Also, some, like Slovenian philosopher Slavoj Žižek attribute the 2009 Iranian protests as one of the reasons behind the Arab Spring.[
 
Waanzania wanaelekea kuzoea risasi za moto.
Hatua njema sana kuelekea ukombozi wa fikra.
Shukran kwa chadema kwa kuwafundisha watanzania ujasiri
 
Back
Top Bottom