Nachingwea: Mabomu ya machozi yarindima mchana wa leo...

Nachingwea: Mabomu ya machozi yarindima mchana wa leo...

'MABOMU YA MACHOZI' ndo sera inayoongoza serikali. Simling'ang'ania 'dhaifu'? Serikali bado ina sera yenye nguvu...'MABOMU YA MACHOZI'. Chedhea thithiemu wewe'
 
Kaka yupo sahihi..... contemporary hata gas inaweza kua gas spring...aha ahaahh hahah hah

Shida mnapoteza muda mwingi kujifunza kiingereza na kila kitu kinaishia hapo, ukishajua Misamiati ukaikariri basi, lakini uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo haupo. Na ndio maana kila siku tunachekwa mbele ya uso wa Dunia!

Watu wanaotoa majina ya haya matukio hawafanyi bila sababu, ile iliitwa Arab Spring kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa Spring na huko Afrika ya kaskazini wana hiyo mifumo minne ya kuchanganua hali ya hewa yaani spring, summer, autum, winter kwa kama ingetokea wakati wa winter ingeitwa labda the Arab Winter, sasa kwetu mifumo yetu ni ya vipindi vya mvua Kiangazi, Kipupwe, Masika, hivyo kuiita Mtwara spring haileti maana yoyote kama mtu anataka kukopi 1-1 angalau angetumia vipindi vyetu vya mvua! Kufikiri kidogo saa nyingnine ni muhimu!
 
matokeo ya fail za form 4 ndio haya maana hawana kazi kazi iliyobaki ni kufanya fujo
 
Chamuhimu sasa naona serikali ifungie usafiri wa Boda boda. Hawa vijana wamekuwa kero sana. Vifo, vilema, na matatizo mengi yameanza gafla baada ya huu usafiri kuwepo. Ukizingatia hata hauna tija kwa serikali cuz hauchangii chochote kwenye pato la taifa. Chamsingi ni vijana watafute means nyingine za kujikwamua kiuchumi. Boda boda is not everything!!
 
Shida mnapoteza muda mwingi kujifunza kiingereza na kila kitu kinaishia hapo, ukishajua Misamiati ukaikariri basi, lakini uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo haupo. Na ndio maana kila siku tunachekwa mbele ya uso wa Dunia!

Watu wanaotoa majina ya haya matukio hawafanyi bila sababu, ile iliitwa Arab Spring kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa Spring na huko Afrika ya kaskazini wana hiyo mifumo minne ya kuchanganua hali ya hewa yaani spring, summer, autum, winter kwa kama ingetokea wakati wa winter ingeitwa labda the Arab Winter, sasa kwetu mifumo yetu ni ya vipindi vya mvua Kiangazi, Kipupwe, Masika, hivyo kuiita Mtwara spring haileti maana yoyote kama mtu anataka kukopi 1-1 angalau angetumia vipindi vyetu vya mvua! Kufikiri kidogo saa nyingnine ni muhimu!

Ahh ha ahha unajijibu mwenyewe..sasa si ni wakati wa gas ndio maana nimesema inaweza kuwa gas spring ukizingatia ndio first time tuna fikiria kuanza kuchimba hiyo resource aha hhahha ha

Dogo yupo sahihi we ndio una kiingeredha cha kukariri cha UK unadhani ili iitwe spring ni lazima iwe based on weather ahah ha hahaa
 
shida mnapoteza muda mwingi kujifunza kiingereza na kila kitu kinaishia hapo, ukishajua misamiati ukaikariri basi, lakini uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo haupo. Na ndio maana kila siku tunachekwa mbele ya uso wa dunia!

Watu wanaotoa majina ya haya matukio hawafanyi bila sababu, ile iliitwa arab spring kwa kuwa ilikuwa ni wakati wa spring na huko afrika ya kaskazini wana hiyo mifumo minne ya kuchanganua hali ya hewa yaani spring, summer, autum, winter kwa kama ingetokea wakati wa winter ingeitwa labda the arab winter, sasa kwetu mifumo yetu ni ya vipindi vya mvua kiangazi, kipupwe, masika, hivyo kuiita mtwara spring haileti maana yoyote kama mtu anataka kukopi 1-1 angalau angetumia vipindi vyetu vya mvua! Kufikiri kidogo saa nyingnine ni muhimu!

unaicomlicate sana,na itakusumbua sana kama unajaribu kuyahusihanisha matukio na maana ya maneno yenyewe,,labda nikuulize kitu kimoja,,kwani kilitokea nini hadi wakaiterm hiyo kuwa ni arab spring?ni kuwepo kwa kipindi husika cha majira ya mwaka au zile choko choko za harakati za mabadiliko?
Kwani ni mara ya kwanza kutokea kipindi hicho?huwa kinatokea kila mwaka katika majira na ndio maana haikua na maana yoyote kukitaja na kukizungumzia,ila kimekuja kupewa uzito kutokana na zile harakati za mabadiliko zilizonzia tunisia na kusambaa kwenye jamii nyingi za kiarabu,
hapo si kwamba tumehusihanisha arab spring kwa kuchelea kutokea kwa kipindi hicho cha majira ya kwaka,tumeifananisha arab movement ilivoanza na kusambaa kwa kasi katika jamii ile,
you are exagurating big brother,,
 
Yani bodaboda wa Kusini ndiyo wababe wa polisi. Wanawezaje kufunga vituo vya POLISI???

Imenikumbusha siku moja bodaboda Mbeya walitaka kulianzisha kupinga rushwa ya police,ilibidi R.T.O mbeya aombe msamaha kwa niaba ya polisi!
 
Ahh ha ahha unajijibu mwenyewe..sasa si ni wakati wa gas ndio maana nimesema inaweza kuwa gas spring ukizingatia ndio first time tuna fikiria kuanza kuchimba hiyo resource aha hhahha ha

Dogo yupo sahihi we ndio una kiingeredha cha kukariri cha UK unadhani ili iitwe spring ni lazima iwe based on weather ahah ha hahaa

HA HA HA..!
JAMAA AMEKARIRI VIBAYA SANA,LOL..
:whistle: :whistle:
 
Polisi wakitumia nguvu wanaambiwa wametumia nguvu kupita kiasi, wakiepusha shari wanaitwa Goigoi, Haingii akilini vurugu wiki nzima maiti hazifiki angalau 50! Mamba hawezi jua kama ameumia mpaka waone Damu! Wangewapa kichapo kama kile walicholishwa wapemba au Watoto wa Arusha!
 
Halafu sasa unaonyesha jinsi ulivyokuwa hauna ubunifu, sasa The South Spring inahusiana vipi na Mtwara? Ungekuwa makini kidogo na kufikiri tu kwa mbali ungetafuta jina ambalo linaleta maana, kwani Mtwara hakuna spring kwa maana ya matumizi ya neno lenyewe, hivyo The south spring haina maana kwenye mambo ya Mtwara!


We kwewli Mbululla au Kihiyo , ulivyo sikia Arab Spring, ukajua uararuni kuna Chemechem?
 
hawa wakipata AK 47 polisi wote wataomba kustaafu kazi kabla ya wakati maana wao wanajua kurusha mabomu tu, hata mbinu za majadiliano hawazijui
 
Halafu sasa unaonyesha jinsi ulivyokuwa hauna ubunifu, sasa The South Spring inahusiana vipi na Mtwara? Ungekuwa makini kidogo na kufikiri tu kwa mbali ungetafuta jina ambalo linaleta maana, kwani Mtwara hakuna spring kwa maana ya matumizi ya neno lenyewe, hivyo The south spring haina maana kwenye mambo ya Mtwara!


Kajifunze kiingereza, usilete mambo ya ajabu hapa. South Spring hii ni political movement however named. Unaleta upuuzi hapa. Hujua kaa kimya!!!!!!!
 
Chamuhimu sasa naona serikali ifungie usafiri wa Boda boda. Hawa vijana wamekuwa kero sana. Vifo, vilema, na matatizo mengi yameanza gafla baada ya huu usafiri kuwepo. Ukizingatia hata hauna tija kwa serikali cuz hauchangii chochote kwenye pato la taifa. Chamsingi ni vijana watafute means nyingine za kujikwamua kiuchumi. Boda boda is not everything!!

Nakubaliana na wewe mkuu, kabla hizi sanlg hazijaja mbona maisha yalikuwa poa tu? Kama vipi serikali izipige marufuku, manake wao ndia chanzo cha vurugu nyingi hapa nchini.
 
Back
Top Bottom