Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Wakuu naomba kuelewa kidogo mambo haya, nahisi kuchanganyikiwa
1. Kwanini Mwakalebela amepigwa chini na CCM, wakati Mramba ameachwa? Wote wanatuhuma zinazofanana na za Mramba huenda zikawa nzito zaidi
2. Kwanini Selelii hakupitishwa wakati alikua mshindi wa pili, na badala yake akapitishwa mshindi wa Tatu? Selelii ana matatizo gani?
3. Kwa nini hawa wote, walioshindwa kwenye kura za maoni wasitafute nyia mbadala wa kugombea kama nia ni kuwakilisha wananchi na kuwatumikia?
Nitashukuru kwa majibu yenu
1. Kwanini Mwakalebela amepigwa chini na CCM, wakati Mramba ameachwa? Wote wanatuhuma zinazofanana na za Mramba huenda zikawa nzito zaidi
2. Kwanini Selelii hakupitishwa wakati alikua mshindi wa pili, na badala yake akapitishwa mshindi wa Tatu? Selelii ana matatizo gani?
3. Kwa nini hawa wote, walioshindwa kwenye kura za maoni wasitafute nyia mbadala wa kugombea kama nia ni kuwakilisha wananchi na kuwatumikia?
Nitashukuru kwa majibu yenu