Nabii atabiri ushindi wa kishindo 2015

Nabii atabiri ushindi wa kishindo 2015

njeeseka

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
1,374
Reaction score
985
Wanaoamini juu ya Manabii, ni kwamba tar 9/9/2015 Nabii wa Kanisa la Ufunuo amemtabiria Dr wa HAPA KAZI TU kwamba atashinda kwa kishindo na kuwataka wanaotoa mapovu watulie kwani wanapoteza nguvu zao.

Amejinasibu kwamba ametabiri mengi ambayo yamekuja kutimia kuwa kweli, lets wait loading.

Wale wa team Gwajima mpo?
 
Ndugu yangu wapo waumini wake waaminifu watakuja hapa ohoo. Wenyewe hawaambiwi wala hawasikii...
 
Duh hivi kanisa LA ufufuo lina nabii mwingine zaidi ya gwajima? Na kama ni huyu gwajima si ndio anampigia Edo upatu!!! Sasa inakuwaje hapo sijaelewa?
 
Hawa ndio manabii wa kweli,sio lile linaloenda kutoa siri za kondoo wake mbele ya wanahabari.
 
Utabiri mwingi hapa tz una-utapiamlo wa kiroho! Kuganga njaa kumekuwa kwingi mno! Hila na njama kwa lengo la kufanikisha matamanio binafsi ndilo lengo kuu! Kaa chonjo chatu yu mawindoni.
 
Wanaoamini juu ya Manabii, ni kwamba tar 9/9/2015 Nabii wa Kanisa la Ufufuo amemtabiria Dr wa HAPA KAZI TU kwamba atashinda kwa kishindo na kuwataka wanaotoa mapovu watulie kwani wanapoteza nguvu zao. Amejinasibu kwamba ametabiri mengi ambayo yamekuja kutimia kuwa kweli.....lets wait loading...Wale wa team Gwajima mpo?

Ukitaka kupata kichekesho hiki tuma neno vichekesho 2015 kwenda no 15509
 
Wanaoamini juu ya Manabii, ni kwamba tar 9/9/2015 Nabii wa Kanisa la Ufufuo amemtabiria Dr wa HAPA KAZI TU kwamba atashinda kwa kishindo na kuwataka wanaotoa mapovu watulie kwani wanapoteza nguvu zao. Amejinasibu kwamba ametabiri mengi ambayo yamekuja kutimia kuwa kweli.....lets wait loading...Wale wa team Gwajima mpo?

Achana na watabiri, wewe jiandae kwenda kupiga kura kisha subiri matokeo.
 
Kanisa la ufufuo lipi?na huyo nabii anaitwa nani?au we ni muumini wake?zipimeni kila roho
 
Hivi huwa una msikiliza huyo nabii wako akihubiri alivyo na Lugha za Kihuni?

Mungu tuepushe na Manabii walio wahi kuwa Majambazi, matapeli, mazinzi na sasa yanaitwa Nabii kisa tu kusaka maisha kwa Style ya Sadaka-baada ya kujenga Kanisa na kujimilikisha.

Frustration is the most source of these fake Churches.
 
Mimi sihitaji hata unabii katika hili najua wazi kuwa magufuli atashinda Lowasa ni mdini na fisadi hawezi kumshinda magufuli mtu ambaye ni msafi na mchapa kazi.
 
Duh hivi kanisa LA ufufuo lina nabii mwingine zaidi ya gwajima? Na kama ni huyu gwajima si ndio anampigia Edo upatu!!! Sasa inakuwaje hapo sijaelewa?
Huyu anatekekeza agenda ya UVCCM ila bahati mbaya hajui hata nani anaongoza kanisa gani !!? . Lo hadi aibu kwa alivyoumbuka.
 
Unabii unaotolewa na manabii wa Dar unaishia hapohapo Dar hauna ubavu wa kuvuka mipaka ya Dar,ambaye unabii wake chanzo chake kinaweza kikawa kimeanzia ofisi ya Lumumba na kwa jamaa wale wa ofisi ya Rais.

Unabii tunao uamini ni ule uliotolewa kuwa EL atakuwa Rais,unabii usiokuwa na mipaka kila pembe ya dunia unapenya hata ofisi ya Lumumba na wale majamaa wa Ikulu hawana ubavu wa kupenya kwenye unabii huo,huo ni unabii huru.
 
Wanaoamini juu ya Manabii, ni kwamba tar 9/9/2015 Nabii wa Kanisa la Ufufuo amemtabiria Dr wa HAPA KAZI TU kwamba atashinda kwa kishindo na kuwataka wanaotoa mapovu watulie kwani wanapoteza nguvu zao. Amejinasibu kwamba ametabiri mengi ambayo yamekuja kutimia kuwa kweli.....lets wait loading...Wale wa team Gwajima mpo?

Huyo nabii wako wa kanisa la ufufuo hata kwa boss wake Gwajima hajulikani.
 
Kanisa la ufufuo lipi?na huyo nabii anaitwa nani?au we ni muumini wake?zipimeni kila roho

Ingia ktk magazeti ya leo utajua Nabii gani? Ndo maana amesema wenye mapovu watulie..ha ha haa huwa inaumaee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom