kikonyoro
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 715
- 331
Duh hivi kanisa LA ufufuo lina nabii mwingine zaidi ya gwajima? Na kama ni huyu gwajima si ndio anampigia Edo upatu!!! Sasa inakuwaje hapo sijaelewa?
hilo linalozungumzwa kwa jina lingine linaitwa siloam linaongozwa na nabii mnuu