Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Ahahhahaha, mama hafoki wala kutokwa povu. Yeye kashasema itafika kalamu yaani vitendo tu. Tena huyu ndo mbaya kuliko yule wa kufoka na vitisho. Ona alivyowaadabisha chama cha ukombozi mpaka wamepoteana. Na timh jiwe wote kama mbweha jangwani.