Lakini wamerudi wale wale walioshindwa hapo zamani.Asante sana Mama Samia kwa kulifanyia kazi suala la Tanesco na Wizara ya Nishati kama tulivyoshauri humu!
Hatua zilizochukuliwa za kuondoa defectors kuanzia Wizara ya Nishati hadi Tanesco ni hatua sahihi zilizochukuliwa kwa wakati sahihi.
Safisha defectors wote serikalini
Akina Mafulu akina Mchechu