Naanza kuamini kuna hujuma dhidi ya Rais Samia

Ahahhahaha, mama hafoki wala kutokwa povu. Yeye kashasema itafika kalamu yaani vitendo tu. Tena huyu ndo mbaya kuliko yule wa kufoka na vitisho. Ona alivyowaadabisha chama cha ukombozi mpaka wamepoteana. Na timh jiwe wote kama mbweha jangwani.
 
Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni

1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya


2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya

Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na loyalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati

2. Kuna Loyalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.

3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Mbona huja mlenga Siro jiwe la kichwa? Mwambie Mama kwamba Siro ni tatizo. Yeye na kikosi chake bado wana bambika watu kesi. Wana vamia mikutano ya ndani. Wana hujumu uchumi kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Kula kichwa chake
 
Ahahhahaha, mama hafoki wala kutokwa povu. Yeye kashasema itafika kalamu yaani vitendo tu. Tena huyu ndo mbaya kuliko yule wa kufoka na vitisho. Ona alivyowaadabisha chama cha ukombozi mpaka wamepoteana. Na timh jiwe wote kama mbweha jangwani.
Wanamchukulia poa sana Mama! Ngoja awanyooshe 🤣🤣
 
Mbona huja mlenga Siro jiwe la kichwa? Mwambie Mama kwamba Siro ni tatizo. Yeye na kikosi chake bado wana bambika watu kesi. Wana vamia mikutano ya ndani. Wana hujumu uchumi kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Kula kichwa chake
Kesi zinahujumu kivipi uchumi?
 
Mwendakuzimu wako akikutandika akiwa hai na bado anakutandika akiwa mfu!
Eti unasemaje? Mwendakuzimu wa nani? Yaani yule dhalimu unayekesha ukimsubiria afufuke? Kama ni huyo hafufuki ng’o!

Eti huko aliko i anatutandika! Acha utoto wewe mfuasi wa shetani, kama ni huyo mbona hivi sasa keshaoza huko Chato?

Adui wa taifa hili ni CCM, period!
 
  • Thanks
Reactions: etb
Eti unasemaje? Mwendakuzimu wa nani? Yaani yule dhalimu unayekesha ukimsubiria afufuke? Kama ni huyo hafufuki ng’o!

Eti huko aliko i anatutandika! Acha utoto wewe mfuasi wa shetani, kama ni huyo mbona hivi sasa keshaoza huko Chato?

Adui wa taifa hili ni CCM, period!
Wana shida sana hawa chato gang
 
  • Thanks
Reactions: etb
Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni

1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya


2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya

Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na loyalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati

2. Kuna Loyalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.

3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Mbona umeme bado unakatika hata sasa umeme umekatwa
 
Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni

1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya


2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya

Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na loyalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati

2. Kuna Loyalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.

3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Yere yere
 
Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni

1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya


2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya

Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na loyalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati

2. Kuna Loyalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.

3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Wise men wa makamo
 
Back
Top Bottom