Mleta mada alikuwa shabiki mwenzio wa Lisu na alijiapiza afe kipa afe beki lazima Lisu aende ikulu na asipoenda atakinukisha mtaani!Hahahaah CCM huwa hawakosi pa kutokea wakibanwa
Piga chini akina polepole, Gwajima, bashiru na wengine. Sikiliza wapinzani wana hoja kama hutawasikiliza utazidi kuchafuka na kuishia kushindwa.Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni
1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya
2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya
Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na royalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati
2. Kuna Royalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.
3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Hahahaah sasa mbona na wewe uko kama sigara kali eti?Mleta mada alikuwa shabiki mwenzio wa Lisu na alijiapiza afe kipa afe beki lazima Lisu aende ikulu na asipoenda atakinukisha mtaani!
Sasa hivi naona kabadili gia angani au labda ni udini unamsumbua
Kivipi?Hahahaah sasa mbona na wewe uko kama sigara kali eti?
Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni
1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya
2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa
no doubt unamànisha " loyalist"Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni
1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya
2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya
Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na royalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati
2. Kuna Royalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.
3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya
Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na royalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati
2. Kuna Royalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.
3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
No doubt unamànisha " loyalist"Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni
1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya
2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya
Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na royalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati
2. Kuna Royalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.
3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Linahujumiwa lenyewe likiwa wapi?Kuna mambo yamenifanya nianze kuamini kuwa Kuna hujuma dhidi ya Rais Samia ingawa nilikuwa nikisikia tu na kutoamini huko mwanzoni. Mambo haya ni
1. Tanesco kukata Umeme hovyo nchini- Na hii ni nchi nzima, hata muda huu, umeme umekatika maeneo mengi nchini. Kalemani yuko kimya, Wizara ya Nishati wapo kimya
2. Yanayoendelea CCM. Kwa sasa huko Ccm kuna defectors , wanajulikana na motive yao inajulikana. Yaliyoandikwa kwenye gazeti la uhuru mpaka likafungiwa hayakuandikwa kwa bahati mbaya
Ushauri kwa Mama
1. Fanya kazi na royalist wako, wanaokusikiliza na kukuheshimu. Fanyia kazi kundi linalotaka kukuhujumu. Anzia na Tanesco na Wizara ya Nishati
2. Kuna Royalist wa Mtangulizi wako hawako tayari kufanya kazi na wewe. Piga chini weka wengine.
3. Itumie idara vizuri na wajipange vizuri dhidi ya hawa watu
Mwenyewe Kasaini TenaSasa na tozo si alisaini mwenyew sasa anahujumiwa vipi
Udini unamsumbua mkuuUmeme umekuwa ukikatika Tanzania miaka yote leo unasema Samia anahujumiwa, una mahaba ya kilevi kwa huyo mama, the fact is, your mama is too weak, both mentally and physically.
Upumbavu tu!
Kodi kwenye mafuta, mama anahujumiwa!
.
Kodi kwenye miamala, mama anahujumiwa!
Umeme kukatika, mama anahujumiwa!
Huyu mama yenu basi atakuwa ni wa hovyo sana!
Kwani mie dini gani ndugu?Udini unamsumbua mkuu
Niliyosikia kuhusu M7 alivyotuhumiwa na Alpha Blonde wa Guinea nashtuka.Yaani Mama naona anazidiwa mpaka anaenda Rwanda afu anasema tununue v8 huko.
Ni kwa Nini majeshi yake yawe msumbiji jamaa sio mtu poa kabisa