IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,330
Mleta mada alikuwa shabiki mwenzio wa Lisu na alijiapiza afe kipa afe beki lazima Lisu aende ikulu na asipoenda atakinukisha mtaani!Hahahaah CCM huwa hawakosi pa kutokea wakibanwa
Sasa hivi naona kabadili gia angani au labda ni udini unamsumbua