Na hili ndo kosa kubwa mnalolifanya watu wenye elimu kichwani huku akili mkiwa mmeiaminisha kwamba hakuna mafanikio kama hujaajiriwa na hapa ndipo hasa msingi wa majuto yako ulipo,kusoma siyo lazima kuajiriwa elimu ni kupata maarifa mapya na kuongeza ujuzi wa kile ambacho unahisi hukijui vizuri ili ukijue na ukifanye kwa usahihi zaidi.Kidogo nna experience ya ujasiria mali coz hata wakati naenda kweny ajiara nlitoka kwenye biashara ambayo nlishaiona inaangalau afadhali ya Maisha so nataka nirudi kulekule
Huu ushauri nimeuchukua mimi.Hapo unatakiwa kuongeza fani au kiwango cha elimu kabla ya kuacha hiyo kazi. Au acha kazia baada ya kupata nyingine, kama inahitaji fani nyingine, fanya kama nilivyosema mwanzo.
Utasikia, bro una mia ya karibu hapo nipate chips dumehaha we umeenda kwenye msosi tu ngosha
pasi ndefu ataziweza
Hahaha sio pouwa!Utasikia, bro una mia ya karibu hapo nipate chips dume
🤣
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako.Nitaufanyia kazi.Kabisa ingiza yote humo,wala usijali. Utairudisha vizuri tu. Hiyo kwanza itakufanya kujituma kwa ajili ya hilo duka,akili zote utawekeza hapo. (Kumbuka wakati unajituma kwa ajili ya hilo duka,ndio unatengeneza brand yako iwe kubwa na wateja pia).Isitoshe itakufanya ujue hela ya mkopo iko wapi,kuliko ukaiweka huku na kule kwenye biashara isiyo na uhakika 100%. Ni kosa kubwa kuingiza hela ya mkopo kwenye biashara isiyo na uhakika 100%. Namaanisha mahindi huna uhakika kama hayatashuka au hayatazuiliwa kutoka nje ya nchi. Hilo duka unalifahamu tayari. Namaanisha unajua unajua linaingizaje hela,linatembeaje,linaendeleaje. Hizo biashara zingine bado hujui,una bahatisha tu. NASISITIZA TENA MUDA MWINGI MALIZIA HAPO DUKANI,NGUVU KUBWA IWE HAPO. HAPO NDIO MAHALA PAKO PA KUTOKEA,NIAMINI. ACHA HIZO TAMAA ZINGINE ZA BIASHARA ZINGINE,KABLA HUJAIFIKISHA MAHALA PAKE HIYO
AminaNashukuru sana mkuu kwa ushauri wako.Nitaufanyia kazi.
Ubarikiwe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
wasomi wanakiogopa kitaa kinoma unajua wengi wamekulia shule, kitaa hawakielewi kabisa so kurudi huko ni stress tupu.Hahah kauli za kishujaa hizi zitakuja mponza mtu walahi...
Sisi tusiokuwa kwenye ajira za serikali mbona tushazoeaga kupambana, halafu kitaa mbona mi napaona pa kawaida tu.
Sijui watu wanachokiogopa ni nn
Mkuu hujui ni kwa kiasi gani umenitia moyo. Mimi ni mwajiriwa and kiapo changu kilikuwa nilazima nopate wife mchakarikaji. Nimefanikiwa kumpata dada ambaye ni mpampanaji na anayajua maisha, ana some little knowledge kwenye kada ya afya so tumefungua duka la Dawa mhimu one of the busness ambayo ukijipanga vizuri ina faida Sana. The problem mama hataki kukubaliana kabisa na maamuzi yangu anataka nitafute msomi wa level yake tene from a rich family, Mimi nimekaza kwa sababu i see prosperity ndani ya huyu dada. Ukiacha upambanaji ni wife material, a pure African wife material. Mkuu umenipa moyo sana ujue kwa kile ninachokifanya na ambacho na amini nisahihi kwangu!Usiache kazi kama una mke na watoto...ila Acha hiyo kazi kama bado uko peke ako.
Unapoajiriwa hamna faida yoyote lakini si kwamba kweli hamna faida Zipo faida japo si za kukuvusha kukufikisha malengo yako.
Chakufanya kama mkeo nae kaajiriwa Acha kazi..ila kama mkeo kajiajiri basi muimarishie biashara mkeo hakika utaona matunda ya hiki ninachokushauri.
Ukiwa na mke ni vyema mmoja akaajiriwa na mwingine akawa mfanyabiashara...Huyu alie ajiriwa hela zake zote ni za kuimarisha biashara ya mwenzake...so anaefanya biashara ndio Provider wa kila kitu nyumbani.
Usitegemee mshahara kukutimizia mahitaji ya nyumbani kama una familia HAUTOSHIIIIII...so hakikisha huachi kazi kabla ya kujua mkeo ana nini cha kufanya.
Mnapokua mke na mume sishauri wote muwe wafanya biashara...wala sishauri wote muajiriwe Hamto enjoy maisha ukitaka mu enjoy na mle pepo hapa duniani Mmoja aajiriwe mwingine awe mfanyabiashara.
Kuajiriwa uhakika wa income mwisho wa mwezi ni 100% ila biashara uhakika ni Probability so Mfanyabiashara unahitaji sana mke/mume alieajiriwa ili upate ile flow ya hela kila mwezi wakati wewe hiki kdg kinachopatkana kwenye biashara ndio kinasukuma familia.
Kilio chako ni toafaut na aliyejiajiri maana yake ukifanya biashara hata ukose hela vipi huwezi lia/lalamika na kufikia hali mbaya kama yako mkuu so Jigawe na mkeo kisha ANZA UPYA.
Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)
Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda
2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much
Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine
Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu
Naomba kuwaslisha
NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
unayo plan B tayari?Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)
Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda
2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much
Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine
Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu
Naomba kuwaslisha
NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
Usache kazi na pia biashara huku ukiendelea na kazi yako piaKidogo nna experience ya ujasiria mali coz hata wakati naenda kweny ajiara nlitoka kwenye biashara ambayo nlishaiona inaangalau afadhali ya Maisha so nataka nairudi kulekule
Asee mi sikuogopi mtaani hata kidpgo yani, sijui nimelogwaawasomi wanakiogopa kitaa kinoma unajua wengi wamekulia shule, kitaa hawakielewi kabisa so kurudi huko ni stress tupu.
Utapeli gani? Kama wewe huwezi kufanya waache wenzio wachukue fursa. Utapeli uko kwenye nini? toa ushahidi wa utapeliNaona mnataka mpige hela zake. Acheni utapeli nyie.
By the way ni wazo zuri, maana inaonyesha ni kiasi gani una umiza kichwa chako kurich your target.Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)
Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda
2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much
Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine
Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu
Naomba kuwaslisha
NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara