latifa957267
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 209
- 80
Mzungu ni nyoka
hahaha we jamaa mzungu sanaPaka akiwa mnene ni paka wa kizungu,paka akikondeana ni paka wa kiswahili,
Kuku anayewekwa mahali safi,analindwa,ni kuku wa kizungu ila wale wanaorandaranda wa kienyeji
Mtu akiwa anajali muda msafi ,ana. pesa -yule jamaa mzungu sana hana longolongo kabisa hanaga uswahili kabisa
Lakini mtu muongo,hajali muda ni mswahili-ah yule jamaa mswahili sana maneno mengi,tapeli nk
Mbwa akiwa na mkia mnene,manyoya ni mbwa wa kizungu ila vimbau mbau,wabaya wa kiswahili
Kwenye mabishano au mtu akisifiwa utasikia mimi sini mzungu
Huku kitaani kwetu Mzungu ni MTU ambaye hana ishu za kijinga jinga kwanza mpole mstaarabu afu hana ishu za kufatilia maisha ya watu ....ila ukimtokea naye anakutokea...mfano Kikwete, allikuwa mzungu sana. umepata mwanga?
Hahaha......Paka akiwa mnene ni paka wa kizungu,paka akikondeana ni paka wa kiswahili,
Kuku anayewekwa mahali safi,analindwa,ni kuku wa kizungu ila wale wanaorandaranda wa kienyeji
Mtu akiwa anajali muda msafi ,ana. pesa -yule jamaa mzungu sana hana longolongo kabisa hanaga uswahili kabisa
Lakini mtu muongo,hajali muda ni mswahili-ah yule jamaa mswahili sana maneno mengi,tapeli nk
Mbwa akiwa na mkia mnene,manyoya ni mbwa wa kizungu ila vimbau mbau,wabaya wa kiswahili
Kwenye mabishano au mtu akisifiwa utasikia mimi sini mzungu ,mie siyo mswahili(tapeli tapeli,muongo muongo,hajali muda) kama wewe
Hakuna MTU mweusi ambae asili yake si AfricaNa je mtu yeyote mweusi ambaye asili yake sio Africa au Mtu yeyote mweupe ambaye asili yake ni Africa tuwaite nano?