Mzungu ni nani?

Mzungu ni nani?

Wazungu ni watu weupe wanaotokea bara la ulaya,au.wale alisi kabisa ambao walikuwa wakoloni
 
Kwa matumizi yaliyozoeleka mzungu ni mtu mweupe wa bara la ulaya na marekani. Mjerumani na mwingereza ni mifano ya hao wazungu. Kwa mtazamo wangu, wachina (pamoja na wajapani, wafilipino, wakorea) hawaingii katika kundi hili. Hao ni wa Asia wakati mwingine wote huonekana kama wachina tu. Kwa hiyo kuna wazungu, waafrika, waasia, waarabu na wahindi.

Hayo ni makundi makubwa. Chini yake kuna mengine madogo madogo. Kwa mfano wa Iran hawakubali kuitwa waarabu - wao ni waajemi.
 
Limetokana Na Neno Mzungukaji Au Wazungukaji. Watu Wa Ulaya Walivyokuwa Wanakuja Bongo Walikuwa Wanaonekana Wamazungungazunguka Bila Purpose. Wengeweza Hata Kuitwa Wazuru (wazururaji)
 
mi nadhan mzungu ni mtu yeyote mweupe kwa asili lakn asiye na asili ya africa.....mtazamo tu!
kwa maoni yangu duniani hakuna watu weupe,
ila hao mnaoita weupe rangi yao ni pink,yaani rangi yao na nguruwe ni sawasawa.
Natanguliza shukran za dhati.
 
Jamani kumekuwa na matumizi tofauti ya hili neno wengine hutumia pasipo kujua wakimwona mtu mweupe tuu basi ni mzungu,je hata mchina ni mzungu muhind je? au wazungu ni watu wa ulaya peke yake ? na je wale black waliozaliwa hko nao ni wazungu?

tujadili hoja jaman
 
Kwa mapokeo kutoka kwa mababu zetu, mzungu ni mzawa wa bara Ulaya pekee + Urusi na baadhi ya nchi washirika wa zamani wa Urusi kama vile Ukraine na Georgia ambazo ziko bara Asia kijiografia.
Baadhi ya raia wa bara Asia wamegawanywa kama waarabu, wahindi, na jamii za kichina, kijapan kikorea, Vietnam na hata waturuki.
 
Nasikia hawa wanyonyaji miaka ya mwanzoni kuanza kuonekana africa walikuwa kama wanafanya utafiti mara waende huku watokee kule,na misafara yao na masanduku,kwaio ile tabia ya wao kuonekana hawana uelekeo maalumu na wazawa at a time wakawa hawana jina la kuwaita wakaamua wawaite WAZUNGUKAJI,baadae as the time goes by,wakalifupisha jina na kuwaita WAZUNGU,not so sure coz sikuwepo wakuu..only heard!
 
Kwa mapokeo kutoka kwa mababu zetu, mzungu ni mzawa wa bara Ulaya pekee + Urusi na baadhi ya nchi washirika wa zamani wa Urusi kama vile Ukraine na Georgia ambazo ziko bara Asia kijiografia.
Baadhi ya raia wa bara Asia wamegawanywa kama waarabu, wahindi, na jamii za kichina, kijapan kikorea, Vietnam na hata waturuki.

wamarekan weupe wao sio wazungu mkuu
 
Nasikia hawa wanyonyaji miaka ya mwanzoni kuanza kuonekana africa walikuwa kama wanafanya utafiti mara waende huku watokee kule,na misafara yao na masanduku,kwaio ile tabia ya wao kuonekana hawana uelekeo maalumu na wazawa at a time wakawa hawana jina la kuwaita wakaamua wawaite WAZUNGUKAJI,baadae as the time goes by,wakalifupisha jina na kuwaita WAZUNGU,not so sure coz sikuwepo wakuu..only heard!

Hahahaaa umefanya nicheke kwa sauti kwi kwi kwi
 
Nasikia hawa wanyonyaji miaka ya mwanzoni kuanza kuonekana africa walikuwa kama wanafanya utafiti mara waende huku watokee kule,na misafara yao na masanduku,kwaio ile tabia ya wao kuonekana hawana uelekeo maalumu na wazawa at a time wakawa hawana jina la kuwaita wakaamua wawaite WAZUNGUKAJI,baadae as the time goes by,wakalifupisha jina na kuwaita WAZUNGU,not so sure coz sikuwepo wakuu..only heard!

Ndivyo ilivyo lakini asili ya neno "mzungu" ni lugha za asili huko Nigeria ambako wenyeji walianza kulitumia hili neno mzungu kuwaita hawa weupe.
 
mzungu ni akili sio rangi ndio maana mtu safi anaitwa zungu la roho na wale wanaotumia akili kuingiza ngada tunawaita wazungu wa unga kwa lugha ya siku hizi lakini
 
yaani unataka kujua mzungu ni nani ?je mswahili unamjua?je mswahili ni mtu wa pwani,au mswahili ni mtu anayeongea kiswahili au mswahili ni mtu anayefanya mambo yake kienyeji?
 
Jamani kumekuwa na matumizi tofauti ya hili neno wengine hutumia pasipo kujua wakimwona mtu mweupe tuu basi ni mzungu,je hata mchina ni mzungu muhind je? au wazungu ni watu wa ulaya peke yake ? na je wale black waliozaliwa hko nao ni wazungu?

tujadili hoja jaman

Hata wenyewe hao wazungu huwa wanatuita NIGGAR NEGRO je ni nini?
 
Back
Top Bottom