Mzungu ni nani?

Mzungu ni nani?

Ninavyoelewa mimi ni kuwa ''mzungu'' kiingereza chake ni Caucasian. Hawa ni wa watu wenye ngozi nyeupe wanaoishi Ulaya na USA.

Mkuu bado kuna debate kubwa sana ya je ni nani haswa ni caucasians....hivyo bado huwezi sema moja kwa moja asili ya watu hao ni USA au Ulaya...

Pia ikumbukwe kuwa watu wa asili wa USA sio hao kina George Bush bali ni Wahindi wekundu...
 
Ndiyo, hili nalo swali zuri, pia warusi nao wapo ktk kundi gani . Wajuvi mtujuze jamani

Pia ni wazungu inshort kuna aina nne ya race ambazo ni (white) kutoka bara la ulaya kisha kuna (yellowish) watu kutoka asia jamii ya wamongolia,Japan,indians nk pia kuna (redish) hawa asili yao ni america na jamii ya wamelenesia kutoka papua new guinea,wamexico nk mwisho kuna (black) jamii ya waafrica na aborigines walioko Australia kwa hyo with wote ni aidha wamechanganya au wametokana na race hizi nne-black,yellowish, redish na white
 
Wazungu ili neno lipatikana miaka dahali toka kwa waswahili likimaanisha wazungu ni watu wa kuzunguka zunguka tu Afrika, hivyo ikawa wazungu wa kuzunguka zunguka ovyo ovyo kila pahali.

Kwa sasa idadi kubwa ya wazungu find this words more offensive than we we thought!

Yeaa wazungu hawa!!
 
Wazungu wa Afika kusini wamehamia tu kule, wale wanatoka ulaya (Uholanzi). Wale Waamerika kusini ingawa baadhi ni weupe lakini hawapo ktk kundi la wazungu (ni kama wana asili ya kihindi fulani). Warusi ni wazungu kwa sababu Urusi pia namna fulani pia ujumuishwa ktk nchi za ulaya
 
Pia ni wazungu inshort kuna aina nne ya race ambazo ni (white) kutoka bara la ulaya kisha kuna (yellowish) watu kutoka asia jamii ya wamongolia,Japan,indians nk pia kuna (redish) hawa asili yao ni america na jamii ya wamelenesia kutoka papua new guinea,wamexico nk mwisho kuna (black) jamii ya waafrica na aborigines walioko Australia kwa hyo with wote ni aidha wamechanganya au wametokana na race hizi nne-black,yellowish, redish na white

Daaa! aisee. hii ni elimu mpya tena kwangu. Sikujua hilo mimi kabla. Nilijua kuna aina kuu mbili za race, Black & white. Kumbe nne. Asante sana mkuu kwa kutuongeze ufahamu. Kweli elimu ni bahari
 
Kwanini sisi weusi tupewe, na nywele laini tunyimwe jamaniii najifyonzaa kabisa

Hahahahaaaa, we Dinazarde usinivunje mbavu mimi hapa ukizingatia madaktari wamegoma MOI nani atanitibu mbavu zangu. Kwa ufupi ni kwamba Mungu katupendelea sana dadaangu kwani hii ngozi nyeusi kwanza tupo wachache ukilinganisha na wenzetu. Pili ngozi yetu ni ghali kwani si rahisi mtu mweupe kufoji awe mweusi isipokuwa mtu mweusi anaweza kufoji ngozi akaonekana mweupe. Hivyo itukuze rangi ya ngozi yako na ithamini sana
 
Wazungu wa Afika kusini wamehamia tu kule, wale wanatoka ulaya (Uholanzi). Wale Waamerika kusini ingawa baadhi ni weupe lakini hawapo ktk kundi la wazungu (ni kama wana asili ya kihindi fulani). Warusi ni wazungu kwa sababu Urusi pia namna fulani pia ujumuishwa ktk nchi za ulaya

Waisrael na Wapalestina je wapo katika kundi gani
 
Hahahahaaaa, we Dinazarde usinivunje mbavu mimi hapa ukizingatia madaktari wamegoma MOI nani atanitibu mbavu zangu. Kwa ufupi ni kwamba Mungu katupendelea sana dadaangu kwani hii ngozi nyeusi kwanza tupo wachache ukilinganisha na wenzetu. Pili ngozi yetu ni ghali kwani si rahisi mtu mweupe kufoji awe mweusi isipokuwa mtu mweusi anaweza kufoji ngozi akaonekana mweupe. Hivyo itukuze rangi ya ngozi yako na ithamini sana

Yaan tatizo nywele mbona hatuna nywele ndefu weusi sio mbaya nywele tu huoni tunavyohangaika na mawigi hhhaaa
 
Mkuu bado kuna debate kubwa sana ya je ni nani haswa ni caucasians....hivyo bado huwezi sema moja kwa moja asili ya watu hao ni USA au Ulaya...

Pia ikumbukwe kuwa watu wa asili wa USA sio hao kina George Bush bali ni Wahindi wekundu...

Neno "Caucasian" linanikumbusha miaka ya nyuma wkt nasoma Muhimbili University somo la Biochemistry lilitolewa swali juu ya unywaji pombe wa hawa Caucasians kwamba wanavumilia zaidi kuliko mtu mweusi, why???
 
Yaan tatizo nywele mbona hatuna nywele ndefu weusi sio mbaya nywele tu huoni tunavyohangaika na mawigi hhhaaa

Ni kweli suala la nywele zetu hazirefuki sana kama mtu mweupe hasa mzungu tunayemwongelea. Na hii inawafanya dada zangu wa Ki Tz kuhangaika na mawigi. Kusema kweli mimi wanaovaa mawingi huwa nawahurumia sana kwa sbb hawapendezi japo wao wanaona wanapendeza. Mimi naamini nywele za kiafrika ukizisuka kwa mitindo mizuri bado utaonekana mzuri sana na wengine hata akizi shave tu huwa wanapendeza sana. Tatizo tu ni kwamba hatujitambui na kujikubali
 
Hahahahaaaa, we Dinazarde usinivunje mbavu mimi hapa ukizingatia madaktari wamegoma MOI nani atanitibu mbavu zangu. Kwa ufupi ni kwamba Mungu katupendelea sana dadaangu kwani hii ngozi nyeusi kwanza tupo wachache ukilinganisha na wenzetu. Pili ngozi yetu ni ghali kwani si rahisi mtu mweupe kufoji awe mweusi isipokuwa mtu mweusi anaweza kufoji ngozi akaonekana mweupe. Hivyo itukuze rangi ya ngozi yako na ithamini sana

Na pia ni imara kuliko ngozi nyeupe wenyewe mnasema ina sijui melanin au kelatin hata sikumbuki, wazungu wana ngozi.mbaya jamani, hasa wakipigwa jua.
 
Ukikuta NA MZUNGU AMBAYE ANAJUA MAANA YAKE ANAWEZA KUKUANGUKIA, KWETU MZUNGU MAANA YAKE AJABU AJABU JITU LA MAAJABU.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, NIni maana ya Mzungu? Au Mzungu ni nani?

Kwa sababu kuna Waarabu, Wajerumani, Wahindi, Warusi, Waingereza. Nini maana ya Mzungu? Au mzungu ni nani? nawasilisha kwenu wana intelligence wa Jamiiforums.
 
mi nadhan mzungu ni mtu yeyote mweupe kwa asili lakn asiye na asili ya africa.....mtazamo tu!
 
Back
Top Bottom