Mzungu na mkalimani wa kijiji

Mzungu na mkalimani wa kijiji

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,236
Reaction score
4,989
Mzungu mmoja alifanya Ziara katika kijiji cha KIGONZILE, alipofika kule akawa anawahutubia wananchi huku mkalimani akitafsiri.
Na mazungumzo yao yalikua kama hivi:-
MZUNGU: Before I go Ahead
MKALIMANI: Kabla hajaenda Kichwani
MZUNGU: Yesterday I was in Johnsberg
MKALIMANI: Jana alienda kwenye mfuko wa Yohana
MZUNGU: Then I went to Washngton and Bahama
MKALIMANI: Baadae akaenda kumuogesha Toni na kumvalisha Shati la Bahama

 
mzungu: my name is david livingstone
mkalimani: anasema yeye anaitwa daud jiwe linaloishi
mzungu: i am coming from new york
mkalimani: anasema anatoka kwenye kiini kipya
 
Haa Kuchekesha ni fani za watu jamani,nyie mnafikiri rahisi? Haichekeshi kabisa....JIPANGE TENA
 
Back
Top Bottom