kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Mzungu mmoja alifanya Ziara katika kijiji cha KIGONZILE, alipofika kule akawa anawahutubia wananchi huku mkalimani akitafsiri.
Na mazungumzo yao yalikua kama hivi:-
MZUNGU: Before I go Ahead
MKALIMANI: Kabla hajaenda Kichwani
MZUNGU: Yesterday I was in Johnsberg
MKALIMANI: Jana alienda kwenye mfuko wa Yohana
MZUNGU: Then I went to Washngton and Bahama
MKALIMANI: Baadae akaenda kumuogesha Toni na kumvalisha Shati la Bahama
Na mazungumzo yao yalikua kama hivi:-
MZUNGU: Before I go Ahead
MKALIMANI: Kabla hajaenda Kichwani
MZUNGU: Yesterday I was in Johnsberg
MKALIMANI: Jana alienda kwenye mfuko wa Yohana
MZUNGU: Then I went to Washngton and Bahama
MKALIMANI: Baadae akaenda kumuogesha Toni na kumvalisha Shati la Bahama