Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Jamani kwa mlioona mechi ya angola akitolewa
nimefurahisana wakati wimbo wa taifa ukiimbwa
goalkeeper mzungu wa angolaaliniacha hoi alipo
nynyua kichwa chake na kana kwamba anaona ile
kamera akabana mdomo kabisa kama vile wamembesha misukule
ya timu ili washinde;sijajua ajui kuimba ama alikuwa katika kufurahisha watu
nimefurahisana wakati wimbo wa taifa ukiimbwa
goalkeeper mzungu wa angolaaliniacha hoi alipo
nynyua kichwa chake na kana kwamba anaona ile
kamera akabana mdomo kabisa kama vile wamembesha misukule
ya timu ili washinde;sijajua ajui kuimba ama alikuwa katika kufurahisha watu