Mzungu awa msukule wa angola

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
Jamani kwa mlioona mechi ya angola akitolewa
nimefurahisana wakati wimbo wa taifa ukiimbwa
goalkeeper mzungu wa angolaaliniacha hoi alipo
nynyua kichwa chake na kana kwamba anaona ile
kamera akabana mdomo kabisa kama vile wamembesha misukule
ya timu ili washinde;sijajua ajui kuimba ama alikuwa katika kufurahisha watu
 
we mwanga nini?? umejuaje kuwa misukule ndo inabana midomo namna ile??
 
Lussadam
Lussadam has no status.
Member

NO COMMENTS

RGDS
mwanahalisi
JF Senior Expert Member
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom