Mzungu ana nini cha ziada?

mimi najituma kaka, na kuna baadhi ya waafrica wengi wanajituma pia, maana kuna waafrica wengi tu wana mafanikio na akili zaidi ya wazungu, na mimi ni mmoja wao

Wewe hiyo brilliance yako umeipima kwa criteria gani? I meant umejuaje kama wewe ni brilliant?
 
Wewe hiyo brilliance yako umeipima kwa criteria gani? I meant umejuaje kama wewe ni brilliant?
I'M YOUNG, RICH, SMART, YET VERY AMBITIOUS.... RELENTLESSLY FIGHTING TO GET MORE
 
Last edited:
Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
Kweli kabisa kaka kwa
Kwani viingozi wenu wa
Wanakuzimisha sababu wanajua ili wao waendelee ni lazima wakunyonye wewe
 
J
Sister haupo tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…