Mzizi mkavu

Na mi pia nikupe bigup mkuu.
Ila kuna thread 1 nimeipitia saivi kuh vyakula na matunda yanayosaidia kuongeza kumbukumbu na ulishauri tutumia mediterenian diet, ndo diet ipi hio mkuu
 
Asanteni sana kwa shukrani zenu na mimi nawapendeni kwa maneno yenu ya busara na mawazo yenu tuwe mfano bora katika kuwasaidia Watu na katika kuijenga Nchi yetu. Nawapongezeni kwa kunipa moyo na shukrani zenu kidumu Jamii forums wadumu wanachama wote wa Jamii forums mwenyeezi Mungu awabarikini wote kwa ujumla ameen.


asante ubarikiwe pia
 
Na mi pia nikupe bigup mkuu.
Ila kuna thread 1 nimeipitia saivi kuh vyakula na matunda yanayosaidia kuongeza kumbukumbu na ulishauri tutumia mediterenian diet, ndo diet ipi hio mkuu
Hakuna haja ya kutumia hiyo mediterenian diet ni ya Wazungu sisi watu weusi vyakula vyetu ni Orignal hakuna haja ya kutumia hiyo diet ya kizungu .

What Is The Mediterranean Diet?


The Mediterranean Diet is a way of eating based on the traditional foods (and drinks) of the countries surrounding the Mediterranean Sea.

The Mediterranean Diet is not a diet, as in "go on a diet," even though it is a great way to lose weight orimprove your health. Rather, it is a lifestyle – including foods, activities, meals with friends and family, and wine in moderation with meals.

It has been studied and noted by scores of leading scientists as one of the healthiest in the world. Just as important, the Mediterranean Diet is full of wonderfully delicious, flavor-filled dishes and meals. It's easy to

understand what it is by thinking about Mediterranean dishes or "plates." For instance, think about these simple, yet healthy and delicious dishes:
L to R: Whole Grain Pasta with Vegetables, Fragrant Couscous, Greek Salad,
Creamy Hummus with Warm Pita, Sautéed Spinach with Lemon.

Oldways, the Mediterranean Diet Pyramid and the MFA


To help people everywhere understand the Mediterranean Diet, Oldways developed the Mediterranean Diet

Pyramid
, with the help of the Harvard School of Public Health and many scientists from Mediterranean countries and the US.

And, to help more consumers worldwide discover Mediterranean foods and how to use them through cooking and other simple steps, Oldways founded the Mediterranean Foods Alliance. Click here to learn more.

 

Attachments

  • 375x321_the_mediterranean_diet_features.jpg
    375x321_the_mediterranean_diet_features.jpg
    28.6 KB · Views: 36
  • foods.jpg
    foods.jpg
    72.4 KB · Views: 29
  • mediterranean-diet.jpg
    mediterranean-diet.jpg
    40.8 KB · Views: 31
  • mediterranean-diet(2).jpg
    mediterranean-diet(2).jpg
    35.2 KB · Views: 29
Kwa wale wote walionipongeza kwa kuwapa nasaha zangu kwenye hili jukwaa la J.F. Doctor nawapeeni zawadi yangu hii. Fanyeni hivi kila siku unapoamka asubuhi kabla ya kula kitu ukisha piga mswaki chemsha Maji ya Uvuguvugu glasi

moja tia kijiko kikubwa cha kulia wali Asali safi ya nyuki kwenye hiyo glasi ya maji ya uvuguvugu, unywe kila siku asubuhi

kabla ya kula kitu uwe unafanya hivyo katika maisha yako yote. Kisha uwe unakunywa Asali kijiko kimoja kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu na usiku baada ya kula chakula kwa muda wa siku 40 hiyo inasaidia kusafisha ini na figo huo ndio usia

wangu Mkuu. kwani katika Mwili wa Binadamu kuna kila kiungo chake kina faida na umuhimu wake lakini viungo hivi Muhimu sana yaani Moyo,figo,Ini,nyongo, na Bandama ni viungo muhimu sana kwa binadamu kufanya kazi yake barabara itabidi tuwe waangalifu wa vyakula tunavyokula kwa ajili ya afya zetu asanteni sana.
 
Back
Top Bottom