Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Wana jamvi mimi binafsi napenda kutumia fursa hii KUMSHUKURU huyu Mzizi mkavu, kwa kweli amekuwa ni msaada sana kwa ss wana jamvi tulioleta matatizo yetu humu. Shukurani sana mkuu Mungu akuzidishie hekima na busara na maisha marefu ili tuendelee kupata msaada wako. Aksante