Mzimu unaotabasamu

Mzimu unaotabasamu

Kumbe unamfaham
Nami nimemfahamu kulekule fb. Nilikuwa nafuatilia hadithi kwenye kurasa inaitwa Uwanja Wa Simulizi. Kinachoonekana ile kurasa alianzisha yeye na baadae akawa anapost na waandishi wengine kama kina Mosenya na Tuwa. Sijui walizinguana nini ila George Mosenya alilalamika sana kuhusu huyu jamaa na toka siku ile page wakamsusia na hata haikudumu sana ikapoteza mvuto. Hiyo ilikuwa kama miaka mitano iliyopita. Sasa leo unapotuambia kaacha kazi na kule nahisi tu tatizo atakuwa yeye.
 
Kuna page inginr inaitwa simulizi za nyemo huko ndionakotoa story zake na janakapost mzim itaendelea wasap wadau wanauliza n bure au na pesa hajibu
Nami nimemfahamu kulekule fb. Nilikuwa nafuatilia hadithi kwenye kurasa inaitwa Uwanja Wa Simulizi. Kinachoonekana ile kurasa alianzisha yeye na baadae akawa anapost na waandishi wengine kama kina Mosenya na Tuwa. Sijui walizinguana nini ila George Mosenya alilalamika sana kuhusu huyu jamaa na toka siku ile page wakamsusia na hata haikudumu sana ikapoteza mvuto. Hiyo ilikuwa kama miaka mitano iliyopita. Sasa leo unapotuambia kaacha kazi na kule nahisi tu tatizo atakuwa yeye.
 
Back
Top Bottom