I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari hivi wanaume wenzangu hili la huyu mzee yusuph tumuweke kundi gan ? kigeu geu au paka mapepe..si alisema mwenyewe htaki dhambi hta kidgo sasa kamrudia Mungu.
Yani unasema na we ni mwanaume? Halafu habari ya kiudaku ya kiswahili namna hii kweli unakua mwanaume kweli?habari hiv wanaume wenzangu hili la huyu mzee yusuph tumuweke kundi gan ? kigeu geu au paka mapepe..si alisema mwenyewe htaki dhambi hta kidgo sasa kamrudia mungu.
huu sio udaku ila mzee ka prove weakness kubwa kama gentlemanYani unasema na we ni mwanaume? Halafu habari ya kiudaku ya kiswahili namna hii kweli unakua mwanaume kweli?
Usicheze kabisa na mshkaji mmoja mwana tuu anaitwa shetani ..huyo mwana ni nomahabari hiv wanaume wenzangu hili la huyu mzee yusuph tumuweke kundi gan ? kigeu geu au paka mapepe..si alisema mwenyewe htaki dhambi hta kidgo sasa kamrudia mungu.
kwaio huyu mwana shetan kampitia aiseUsicheze kabisa na mshkaji mmoja mwana tuu anaitwa shetani ..huyo mwana ni noma
Jr
ila tumuombee mung tu game limkubal kama zaman apate hela zimsaidie maana jamaa dizain kama anawake wawili vile ndo wamemtoa jasho kuwalisha hahahahaKaomba poh
Jr
kigue geu yule dini inataka ujitoe haswaaaa'usitukane mamba kabla hujavuka mto'
eti mziki wa kishetwani;na shetani ameshamtema kwenye taarabu yake
alibugi,alitaraji angekuwa analipwa mshahara na maustaazi kumbe wao nao wanamtegemea
Mzee Yusuph kaujua ukweli,dini zililetwa kututawala tu na hakuna la ziadahabari hiv wanaume wenzangu hili la huyu mzee yusuph tumuweke kundi gan ? kigeu geu au paka mapepe..si alisema mwenyewe htaki dhambi hta kidgo sasa kamrudia mungu.
Yame kua ayoUsicheze kabisa na mshkaji mmoja mwana tuu anaitwa shetani ..huyo mwana ni noma
Jr
Nani amekuongopea Mzee Yusuph ana wake wawili?ila tumuombee mung tu game limkubal kama zaman apate hela zimsaidie maana jamaa dizain kama anawake wawili vile ndo wamemtoa jasho kuwalisha hahahaha
Dah kwa hyo maustadh walikuwa wanakula pesa alizovuna wakati ulee kabla hajaokoka eee sasa zimeisha wamemtenga'usitukane mamba kabla hujavuka mto'
eti mziki wa kishetwani;na shetani ameshamtema kwenye taarabu yake
alibugi,alitaraji angekuwa analipwa mshahara na maustaazi kumbe wao nao wanamtegemea