TANZIA Mzee William Mbunga mwandishi wa habari mkongwe afariki dunia

Yani sisi hatuna mtu aliyegundua hata kifaa kimoja cha bicycle? Yani ni mwendo wa siasa kama .....::
 
I'm sorry for asking this? why was he alone on that picture ? Where was the president of Zanzibar? Actually the event was very important but i would expect to see them together on that picture.
In all in all, a lot of thanks to the Cameraman for taking this picture, at least, i' m going to have something to show my grandkids . R . I . P
President of Zanzibar is at far right of the picture
 
Huyo sijamsoma, labda utuambie wewe habari zake.
Huyu mzee anasema yeye ndiye aliyeandika azimio la Arusha .Anasema aliandika na barua ya kukiomba chama kimteue agombee uraisi dhidi ya Nyerere.Huyo alikuwa msomi na mtaalamu wa sheria za kimila kama unavyojua sheria za kimila na sheria za kiislamu toka 1963 ni sehemu ya sheria za nchi hivyo kama mtaalamu alisaidia sana nchi eneo hilo.Anasema baada ya Nyerere kuanzisha sera za ujamaa ambazo yeye aliziasisi akaamua kuachana na ndoto za urais kwani aliyotaka kuyafanya ndo yalikuwa yanafanywa na Nyerere.Haya siyo yangu ni kwa mujibu wa yeye mwenyewe Rwizandekwe kama alivyohojiwa na waandishi mbalimbali,hivyo sina uhalali wa kupigwa mawe.
 
Hapana, huyo ni marehemu Mangi wa wachaga marehemu Petro Itosi Marealle! Hawa warundi wakina Jiwe wanakula wasivyopanda, sisi wachaga tulimbeba sana Nyerere katika harakati za kupata uhuru wa nchi hii!!
Hafu kuna limtu lizima linaitwa jah people linampigia chapuo kule bungeni ati aongezewe muda urais usiwe na kikomo.

Tufunge na kuomba ndugu zangu,wasifanikiwe huo mpango wao.
 
Huyu mzee anasema yeye ndiye aliyeandika azimio la Arusha .Anasema aliandika na barua ya kukiomba chama kimteue agombee uraisi dhidi ya Nyerere.Huyo alikuwa msomi na mtaalamu wa sheria za kimila kama unavyojua sheria za kimila na sheria za kiislamu toka 1963 ni sehemu ya sheria za nchi hivyo kama mtaalamu alisaidia sana nchi eneo hilo.Anasema baada ya Nyerere kuanzisha sera za ujamaa ambazo yeye aliziasisi akaamua kuachana na ndoto za urais kwani aliyotaka kuyafanya ndo yalikuwa yanafanywa na Nyerere.Haya siyo yangu ni kwa mujibu wa yeye mwenyewe Rwizandekwe kama alivyohojiwa na waandishi mbalimbali,hivyo sina uhalali wa kupigwa mawe.
Ingependeza zaidi kama wanazuoni wangemuandika, na si yeye kujisema mwenyewe.

Kila mtu anaweza kujisifu, lakini kitu cha maana zaidi ni kusifiwa na watu wengine.
 
Hafu kuna limtu lizima linaitwa jah people linampigia chapuo kule bungeni ati aongezewe muda urais usiwe na kikomo.

Tufunge na kuomba ndugu zangu,wasifanikiwe huo mpango wao.
Nyerere alitoa hotuba moja akaongelea suala la kuongezewa muda rais, kwa mfano mzuri sana.

Alisema, yeye alitaka kuacha urais kipinfi kirefu, tangu miaka ya sabini huko.

Kila alivyotaka kujiuzulu, baadhi ya wasaidizi wake wakawa wanamfuata na kumuomba asijiuzulu, wakisema nchi inamuhitaji, kuna tatizo hili na lile kubwa, huu si wakati mzuri.

Akawa anakubali kuendelea.

Miaka mitano tena, anataka kujiuzulu, anapewa pingamizi hivyo hivyo. Anawakubalia.

Mwaka 1980 wakamwambia hivyo hivyo. Na muda ule tumetoka kwenye vita, akaendelea.

Aliposema anataka kujiuzulu 1985, wakaja na pingamizi, akaanza kujiuliza.

Hawa watu wanataka niendelee kuwa rais kwa maslahi ya nani? Maslahi ya umma au maslahi yao?

Akaja kugundua wengi walihofia Nyerere akiondoka, rais mpya akija atawapangua. Walimtaka aendelee kuwa rais kwa manufaa yao binafsi.

Haya mambo mpaka leo yanaendelea. Kuna watu wanataka Magufuli aendelee kuwa rais kwa manufaa yao, si manufaa ya nchi.
 
Nyerere alitoa hotuba moja akaongelea suala la kuongezewa muda rais, kwa mfano mzuri sana.

Alisema, yeye alitaka kuacha urais kipinfi kirefu, tangu miaka ya sabini huko.

Kila alivyotaka kujiuzulu, baadhi ya wasaidizi wake wakawa wanamfuata na kumuomba asijiuzulu, wakisema nchi inamuhitaji, kuna tatizo hili na lile kubwa, hu si wakati mzuri.

Akawa anakubali kuendelea.

Miaka mitano tena, anataka kujiuzulu, anapewa pingamizi hivyo hivyo. Anawakubalia.

Mwaka 1980 wakamwambia hivyo hivyo. Na muda ule tumetoka kwenye vita, akaendelea.

Aliposema anataka kujiuzulu 1985, wakaja na pingamizi, akaanza kujiuliza.

Hawa watu wanataka niendelee kuwa rais kwa maslahi ya nani? Maslahi ya umma au maslahi yao?

Akaja kugundua wengi walihofia Nyerere akiondoka, rais mpya akija atawapangua. Walimtaka aendelee kuwa rais kwa manufaa yao binafsi.

Haya mambo mpaka leo yanaendelea. Kuna watu wanataka Magufuli aendelee kuwa rais kwa manufaa yao, si manufaa ya nchi.
Well said mkuu.true.
 
Sir God ameamua kutumbua nafasi za uteuzi, ila siku sio nyingi tutasikia nyimbo za maombolezo na bendera nusu mlingoti.

Covid hana baunsa, kila anaekaa vibaya anakula za uso.
Kama Maalim Seif na mkewe walipata COVID-!9 na Maalim alikuwa na mikutano mingi tu na hao viongozi wengine,je hudhani kuwa kuna kila sababu ya kuhisi kuwa hao aliokuwa anakutana nao i wameambukizwa haya maradhi? Kuna haja ya kufanya CONTACT TRACING ili tujue wakina nai wameambukizwa!!
 
6.jpg
 
I'm sorry for asking this? why was he alone on that picture ? Where was the president of Zanzibar? Actually the event was very important but i would expect to see them together on that picture.
In all in all, a lot of thanks to the Cameraman for taking this picture, at least, i' m going to have something to show my grandkids . R . I . P
Karume was there.Look the left of the man standing clapping hands in creamy suit.My questions all of the people there where are they now i know they must be old if still living.Nyerere,Kawawa,Karume,Mangi Marealle we know have gone forth before the throne how about those ladies and two men holding the pot with sand from Kilimanjaro mountain mixed with sand from Zanzibari this is momentous historic event.
 
Willy Ladislaus Mbuga ni mwandishi wa habari aliyepoga picha maarufu ya Rais Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar.

Leo amefariki dunia.

Tukio hili la kuchanganya udongo wengi huliona tu kwenye picha ile.

Kosa kubwa nchini ni kudhani tukio lile lilitokea siku ya muungani yaani Aprili 26 1964.

Lakini ukweli ni kwamba kuchanganya udongo ni tukio lililofanyika kuadhimisha mwaka mmoja wa muungano yaani April 26, 1965.

Mtu aliyepiga picha hiyo maarufu ni huyu mzee Willy aliyefariki leo.

Picha ya Willy na picha ya kuchanganywa udongo hii hapa.

View attachment 1694561
Ahsante sana kwa hii taarifa kumbe tuliungana kwanza ndio maadhimisho mwaka mmoja baadae wakachanganya udongo
 
Nyerere alitoa hotuba moja akaongelea suala la kuongezewa muda rais, kwa mfano mzuri sana.

Alisema, yeye alitaka kuacha urais kipinfi kirefu, tangu miaka ya sabini huko.

Kila alivyotaka kujiuzulu, baadhi ya wasaidizi wake wakawa wanamfuata na kumuomba asijiuzulu, wakisema nchi inamuhitaji, kuna tatizo hili na lile kubwa, huu si wakati mzuri.

Akawa anakubali kuendelea.

Miaka mitano tena, anataka kujiuzulu, anapewa pingamizi hivyo hivyo. Anawakubalia.

Mwaka 1980 wakamwambia hivyo hivyo. Na muda ule tumetoka kwenye vita, akaendelea.

Aliposema anataka kujiuzulu 1985, wakaja na pingamizi, akaanza kujiuliza.

Hawa watu wanataka niendelee kuwa rais kwa maslahi ya nani? Maslahi ya umma au maslahi yao?

Akaja kugundua wengi walihofia Nyerere akiondoka, rais mpya akija atawapangua. Walimtaka aendelee kuwa rais kwa manufaa yao binafsi.

Haya mambo mpaka leo yanaendelea. Kuna watu wanataka Magufuli aendelee kuwa rais kwa manufaa yao, si manufaa ya nchi.
na watu pia waelewe uraisi sio kazi ya ki spot spot ni ngumu mno.Hata Nyerere alivyoacha tu uraisi afya yake iliimarika kidogo.Kila janga la kitaifa likitokea njaa,magonjwa,ajali ni mzigo wa raisi.Pamoja na kuwa ni kuvunja katiba na kuweka kiraka hata mkuu wetu hapendi kabisa msilazimishe.Hata upendwe namna gani wako watakupinga tu.YESU na mazuri aliyowaletea binadamu lakini bado walimsulubu.Ronald Reagan wa Marekani alikuwa mbabe alimpiga bomu Ghadaf karibia amuue kwenye hema lake akafa mtoto wake wa kuasili na wamerekani walivyo waoga wakajiwa na wazo la kutaka aongezewe muda kipindi cha tatu lakini alikataa kwa kuona katiba izingatiwe.Raisi wa kwanza wa Marekani George Washington alitawala kipindi kimoja tu na aliombwa atawale kingine akafikiria sana na vile alivyokuwa generali wa jeshi akafikiria mustakabali wa watu wa taifa lake miaka ijayo kuwa angeendelea ungezuka mtindo wa wanaofuata kujiongezea muda.Na ndio maana nchini Marekani wanaheshimu sana neno ukomo wa uraisi.
 
I'm sorry for asking this? why was he alone on that picture ? Where was the president of Zanzibar? Actually the event was very important but i would expect to see them together on that picture.
In all in all, a lot of thanks to the Cameraman for taking this picture, at least, i' m going to have something to show my grandkids . R . I . P
Hayo maswali niliwahi kujiulizs sana toka utotoni lakini hadi leo sijapata majibu. Au ndo mwishow chumbe?
 
Habari zilizonifikia ni kuwa mzee William Mbunga mwandishi wa habari mkongwe, aliyepiga picha tukio maarufu uchanganyaji udongo kwenye Muungano wa Tanganiyika na Zanzibar amefariki Dunia tarehe 3/2/2021.

Pia ndiye muanzilishi wa shule ya uandishi wa habari SJMC.

Bwana ametoa, bwana ametwaa


--
Poleni familia kwa msiba.
 
Back
Top Bottom