Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,975
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!

Mzee anataka kumchukiza Magufuli au anataka nini
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Hatuwezi Kumchukua MZEE WASSIRA , Tunaenda na BULAYA TU.
 
Back
Top Bottom