Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

KIBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
943
Reaction score
186
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.John Komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu Warioba. Warioba alipewa heshima kubwa kuwa Mwenyekiti wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine yeye kamaliza na aliachwa huru. Nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa Bunge maalumu la katiba?

Mzee wewe unamalengo gani hasa au sababu uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita, acha tuvurugia nchi yetu.
 
Hujitambui kabisa mtoa post,warioba alifanya kazibya kukusanya maoni ya wananchi na kuyawasilisha kama yalivyo,sasa huyu mzee six na wahuni wenzake yale maoni wameyapata wapo?
 
Kibe

1. warioba ni raia wa Tanzania
2. ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this Nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa Nyerere

The best way ku deal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kama hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu

Kizazi cha sasa cha CCM ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.
 
kibe

1. Warioba ni raia wa tanzania
2. Ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa nyerere

the best way ku dal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kma hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu

kizazi cha sasa cha ccm ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.

kula like yangu mkuu!
 
KIBE, unauchungu kweli na nchi yako au njaa tu inakusumbua? mtaforce kuipitisha hiyo katiba uchwara iliyopendwa na kina komba then baada ya muda mfupi nchi inaingia gharama nyingine ya kuibadilili.
 
Kibe

1. warioba ni raia wa Tanzania
2. ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this Nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa Nyerere

The best way ku dal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kma hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu

Kizazi cha sasa cha CCM ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.

Aende zake huko huyo warioba, atakuwa katumwa na cia kusambaratisha muungano.
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Mkuu:Kwa uandishi huu yaelekea unavinasaba vya Komba:

1. Komba ameacha kujadili rasimu inayomfanya apokee 300,000 kwa siku-badala yake amejipa kazi ya kumjadili Warioba tu...

2.Wewe nawe umeacha kujadili alichokiwasilisha Warioba kwa niaba ya tume;badala yake unamshambulia tu u-mzee wake...

Mwisho:umma unahitaji katiba mpya;sio katiba iliyoshehenezwa viraka.
 
Kibe

1. warioba ni raia wa Tanzania
2. ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this Nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa Nyerere

The best way ku deal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kama hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu

Kizazi cha sasa cha CCM ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.

mkuu umejibu vyema sana!
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu
Nina mashaka na uraia wa komba! Kama warioba aliomba kazi yake isiingiliwe si angeifuata kama ilivyo hii inaonesha ameiingilia so alichoongea komba ni ungese mno
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu
Kwani mama yako kinamuwasha nini?
 
CIA ina nini cha kuingilia TZ? Komba ni yule mnyama kama kicheche au mzee wa kushindwa kulipa mikopo ya benki?
 
kwa akili yajo tu unadhani komba anaweza kusimama na warioba
 
Naona unatafuta popularity hapa kwa kumtumia Warioba.
 
makada wa ccm acheni ushabiki anahaki ya kufanya anachofanya
 
Back
Top Bottom