Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

Ni kweli mkuu maana hapo ni watu wawili tofauti mmoja mwanasheria mwenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kutosha, pia mtu ambaye alishakuwa mwanasheria mkuu, waziri mkuu vs komba ambaye alikua akiinba nyimbo za kumsifu warioba na wenzake wakiwa ofisini..watu wanashidwa kuona hiyo tofauti mkuu..

Nimeipenda hiyo... aseme asemalo lakini K alimwimbia nyimbo za kumsifu Mzee Warioba akiwa Kiongozi Mkuu wa Kitaifa.
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru. nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa BMK . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Kwa falsafa ya mjinga huwa hajitambui kama ni mjinga ni sahihi kumpongeza Komba kwa sababu amesema kile anachoweza kusema kwa uwezo wake; hivi komba kwa uwezo wake angesema nini?/ulitarajia aseme nini? Kama hakupata umaarufu kwa utendaji wake wa kazi akiwa mwanajeshi isipokuwa alipoanza kuimba nyimbo hasa za CCM namberi 1.

Hata aliposema kuwa yeye ataingia msituni alikuwa sahihi kwa utashi wake na uwezo wake wa kufikiri na hapo anajipambanua katika kundi lake.

Kulia ni sifa/tabia mojawapo za watoto na hicho ndicho kiashiria mojawapo kuwa huyu ni mtoto. Hata Komba japo sometimes anachukiza lakini ukifikiria kwa makini utagundua kila anachosema ni sifa/kiashiria mojawapo cha watu wa kundi lake, wenye uwezo na kulingana kama yeye. Kwa mantiki hiyo hata mimi big up bonge la mtu.
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru. nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa BMK . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Swali la kipuuzi hujibiwa kipuuzi,hebu tuambie ni lini Warioba aliukana uraia wa Tanzania hata akose haki ya kuchangia masuala ya nchi yake anapoona yanakwenda kombo? Ni ujinga kuhadaa umma kuwa Mzee huyu mwenye weledi mkubwa hapaswi kusema lolote sasa kisa alipewa kazi ya kukusanya maoni. Ni wajinga tu wanaofikiri kwa kutumia Masaburi ndio wanamuunga mkono muimba taarabu wa T.O.T aliyeingia bungeni kwa kusifia viongozi hali kichwani ni giza tupu.Huyu ndiye aliyesema ataingia msituni zikipita serikali tatu sijui alikusudia kwenda kuungana na wanyama wenzake au kufanya nini.Mtoa mada ukanawe kwanza uso ndio uje kuleta utumbo huu kwa watu wasioshikiwa akili kama wewe.
 
mkuu kibe warioba katoa maoni yake na mtaani kamaanisha kwenye kura za maoni kwa wananchi huku usiwe mshabiki sana bila kuangalia uhalisia kama suala la serikali tatu sawa ila vipengele vya msingi,kama,madaraka ya wananchi,ubunge kua na kikomo,mbunge kutokua waziri hauoni hivyo ni vitu vya msingi ambavyo wananchi tulivitolea maoni kwa nguvu
umenena mkuu ya ukweli na hii ndiyo hasira yetu
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru. nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa BMK . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Kibena una ngebe kama mumeo karudi na nyama!!
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru. nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa BMK . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Unataka kukunwa weye
 
Jamani komba hivi hayo aliyoyasema kweli naye amechukua 300,000.00 ama kweli hiyo ndio rasimu ya 3
 
Mleta thread huna adabu kabisa,kwani wewe unawashwa na nini?
Uwe na Heshima kwa watu waliokuzidi umri pombafu...
 
Warioba anataka kujivunjia heshima yake na wanaomshauri ndani ya CCM wanamndanganya kwanza Waislamu wanamsubiri kwa hamu awaeleze ni sababu gani swala la mahakama ya kadhi halikuwapo katika draft ya katiba aliyotoa mwanzo na ya pili hilo tu linatosha kumuumiza kichwa na pili atuambie 360,000 na 33,000 wapi ni wengi katika maoni? Kwani hawa 360,000 hawakuzungumza kuhusu muungano wakati hao 33,000 ndio waliotaka Serikali 3 sasa akija mtaani ataipata fresh na maswali haya ayaandae majibu.
 
siku zote ccm inafundisha ujinga. Komba analeta uhuni kwenye mambo ya msingi. ina shang a z a mbuzi kumuuma mtu. Komba hakua mtu wa kumsema vibaya Warioba.
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.John Komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu Warioba. Warioba alipewa heshima kubwa kuwa Mwenyekiti wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine yeye kamaliza na aliachwa huru. Nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa Bunge maalumu la katiba?

Mzee wewe unamalengo gani hasa au sababu uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita, acha tuvurugia nchi yetu.
Sijaona Warioba akiwaingilia. Au mtu kutoa maoi yake ambayo hayafanani na ya kwao ndiyo kuwaingilia? Jina hakika angekuwa Anasema wanaotaka kuyasikia wangemwita mzalendo maradufu!
 
Aende zake huko huyo warioba, atakuwa katumwa na cia kusambaratisha muungano.
Hv nyie mnaoropoka hamjui hata hyo katiba inayotumika saiv ilitengenezwa na Warioba wakiwa wametumwa kuiandika katiba hyo Ufaransa,,? hv kwel leo komba ni mtu mwenye weledi kiasi gan kumtukana Geneus warioba,,?
 
kwenda huko,kwani we unajua jina langu kuliko mimi mwenyewe! Mimi sio Ghostryder kama ulivyodhani wewe Msukule wa Disco Jocker. Halafu haka kamtindo kenu ka kijinga ka kudai sisi tumesoma shule za kata kanaacha maswali. Yaani kila pro chagadema anajifanya kasoma ulaya, wakati kiuhalisia we ni hohe hahe kabisa mngese mkubwa we.

we ni wa kuonewa huruma na kupuuzwa
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.John Komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu Warioba. Warioba alipewa heshima kubwa kuwa Mwenyekiti wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine yeye kamaliza na aliachwa huru. Nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa Bunge maalumu la katiba?

Mzee wewe unamalengo gani hasa au sababu uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita, acha tuvurugia nchi yetu.



You are too low!!!!
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.John Komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu Warioba. Warioba alipewa heshima kubwa kuwa Mwenyekiti wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe.

Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine yeye kamaliza na aliachwa huru. Nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa Bunge maalumu la katiba?

Mzee wewe unamalengo gani hasa au sababu uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita, acha tuvurugia nchi yetu.

Wanao na wajukuu zako watakuja kufundishwa historia na umuhimu wa warioba kwa kuwa ww kichwa chako unatumia kufuga nywele ishi ivo ivo....tunawaombea watu kama nyie mfe mapema ili shughuli za muhimu ziendelee
 
Kinachomuwasha WARIOBA ni huo unafiki wenu nyie ma CCM.
 
Back
Top Bottom