Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

Mzee Warioba kinacho kuwasha ni nini ?

Madhara ya Elimu ya shule za kata ndio kama haya! vijana hamsomi wala hamna uwezo wa kujadli na kuchambua mambo, mnakaririshwa na kuimbishwa nyimbo kama kasuku!

Mkuu, hiyo sio shule ya kata. Ni matokeo ya elimu ya vile vyuo vyetu vileeeeeee! Vile ukijiunga navyo kisha usihudhurie lekcha utachezea mijeledi hadi ufe!
 
Kila mwana JF hujifanya kasoma sana wakati pengine una ka digrii ka HIV Counselling, sijui dawa zikipatikana utafanya kazi gani mburula we.
Haya ni mawazo dhalili yanayotokana na kukosa elimu ya kutosha! lakini bado hujachelewa, badala ya kushinda hapa jukwaani ukishabikia CCM nenda kajisajili kwenye Taasisi ya Elimu ya watu wazima ili ujijengee uwezo wa kufikiri na kujadili hoja kisomi!
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

ukoo wa panya hautaki UWAZI,UWAJIBIKAJI,UZARENDO, sasa mnataka muendelee kuibia wananchi maskini kushibisha hayo matumbo makubwa kama mifukoya plastiki inayopanuka kila siku. yanataka yaendelee kwenda kusain mikataba hotelini ulaya badala ya hapa ofisini kwao

Eti manyang'au hayataki watoto wetu wafundishwe kuhusu katiba


Eti haya manyang'au yanataka yaendelee kupokea vitofali vya dhahabu yakauze na hayataki yakipokea iwe mali ya nchi?

Eti manyang'au yanasema serikali yenye wabunge 70 ni ya gharama kuendesha yenyewe yanataka serikali yenye wabunge 400 ndio isiyo na gharama kuendesha

Eti manyanng'au yanasema serikali yenye mawziri 15 ni ya gharama kuendesha, eti yenyewe yanasema serikali yenye mawaziri zaidi ya 30 ndio haina gharama kuendesha

Hivi mtu kama komba ana credibility gani ya kumnyooshea kidole warioba?
mbona mwanzoni mlisema hamtaki kusikia waasisi wa taifa hili wakitukanwa lakini nyie ndio wa kwanza kumtukana warioba? au warioba sio muasisi wa taifa hili?

Je akina bulembo,makonda,kigwangala na komba ndio waasisi wa taifa hili ?

Ukitaka kuwa muongo mzuri lazima uwe na kumbukumbu. kumbukeni haya yote mnayoyafanya leo mliyakataa kabisa kwamba hayafai ili kuwalaghai wananchi
 
Hakika haya ndio madhara ya BIG RESULT NOW vijana wote wa lumumba wako kama maroboti.

Haya, we mwenye digrii ya HIV COUNSELLING, subiri dawa zipatikane kama hukuokota makopo mjini. Msomi gani usiejitambua!
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Komba huyuhuyu bwana'ake Lulu ndie anayemdiss Jaji Warioba!!!
 
Haya ni mawazo dhalili yanayotokana na kukosa elimu ya kutosha! lakini bado hujachelewa, badala ya kushinda hapa jukwaani ukishabikia CCM nenda kajisajili kwenye Taasisi ya Elimu ya watu wazima ili ujijengee uwezo wa kufikiri na kujadili hoja kisomi!

Tangia uanze kuandika humu jf, sijawahi kuona umeandika na kujadili hoja kisomi, zaidi ya kuwaponda watu eti hawajasoma. Hivi, wewe uliyesoma mbona hujajijengea uwezo wa kutoa mada zenye ushawishi chanya zaidi ya kashfa za kielimu? Unaweza kuwa ulikaa darasani lakini hujaelimika, nami na kushauri hujachelewa pia, hebu niwekee CV yako nione ntakusaidiaje.
 
Tangia uanze kuandika humu jf, sijawahi kuona umeandika na kujadili hoja kisomi, zaidi ya kuwaponda watu eti hawajasoma. Hivi, wewe uliyesoma mbona hujajijengea uwezo wa kutoa mada zenye ushawishi chanya zaidi ya kashfa za kielimu? Unaweza kuwa ulikaa darasani lakini hujaelimika, nami na kushauri hujachelewa pia, hebu niwekee CV yako nione ntakusaidiaje.
Mdogo, haya mapovu hayakusaidii kujijengea uwezo wa kujadili hoja kisomi! fuata ushauri tu, nenda kajiandikishe Taasisi ya Elimu ya Watu wazima ili uanze masomo ya jioni kupanua wigo wa uelewa, kufikiri na kujenga hoja katika mijadala! tena karo yake ni nafuu sana, unaweza ukatumia hizo buk 7 unazolipwa Lumumba kujilipia karo.
 
Warioba huyu huyu mnywa gongo?

Komba huyu huyu tuliyeziona picha zake juzi mitandaoni akishika Shanga za watoto zake viunoni!!!?

Infakt gongo ni pombe kama zingine na hazina shida, Pombe alikunywa nabii Nuhu! Pombe alikunywa nabii Ruthu, maandiko yanasema "Mpe maskini kileo asahau shida zake" hii ni Mithali ya mfalme Suleimani!!

Hamna sehemu mzinzi amepewa nafasi. Mzinzi kama komba kama anakuambia kitu na ukamwelewa jipime akili zako!! Japo tunajua chizi hatakubali tatizo!! Teh teh teh
 
Kibe

1. warioba ni raiay wa Tanzania
2. ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this Nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa Nyerere

The best way ku deal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kama hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu

Kizazi cha sasa cha CCM ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.

Big likes mkuu,
Komba ni mwanakwaya,warioba ni jaji na waziri mkuu mstaafu je unaweza waliganisha hawa,mleta mada huenda ni mwanakwaya mstaafu pia
 
Kila ninapowatazama hao wajumbe wa katiba ya vijisenti kwenye luninga ya tbc,ni wazi hata nafsi zao zinawasuta.
Tangu lini mtu aliyetuhumiwa na kuthibitikakuwa alifisadi pesa za walipa kodi kama chenge akabidhiwe wadhifa nyeti wa kutunga na kuandika katiba ya nchi alafu utarajie katiba halisi yenye kukataa dhulma na ufisadi
Qanajua kabusa kama rasimu ya warioba ingepita wao wangejikuta mahabusu kumalizia maisha yao huko nyuma ya nondo kwa maovu walotutendea watanzanua
 
KIBE kama una akili sawa na Komba tumekwisha. Komba mwizi; fisadi; mfiraji. Komba mwimba kwaya ya CCM ili watoto waweze kuishi na kaifilisi TOT. Komba anatudanganya eti yuko tayari kuingia msituni kumbe anajikomba. Komba alizidiwa unene akapelekwa India na serikali kupunguzwa kitambi toka 140kg hadi 120kg. Komba hajasoma yeye anawaza visichana na kupiga navyo picha vikiwa vitupu. Du majanga iwapo akili zenu sawa. Kazi tunayo
 
Cheyo ana bahati ya kuingia Bungeni kwa sababu ya ulimbukeni wa wapiga kura wake sawa na Shibuda. Cheyo ana madeni balaa kuna wakati nyumba yake ilikuwa ipigwe mnada na benki ikabidi dogo mmoja amkopeshe 40m ili kumnusuru. Stanbic walimnyanganya gari Benzi baada ya kushindwa kulipa mkopo. Komba alishindwa lipa mkopo CRDB. Wote Komba na Cheyo wana njaa kali kuliko wakulima waliopo vijijini tofauti wao tunawaita waheshimiwa na tunawalipa mamilioni ya shilingi lakini yanaishia kwenye starehe kwenye mabaaa na magesti houses. Adios
 
Kwanza nitoe pongezi kwa mh.john komba kwa kusema kwa uwazi bila soni kuhusu huyu babu warioba, warioba alipewa heshima kubwa kuwa mwkt wa tume.na muda wote wa kazi yake alikuwa anasisitiza aachwe huru afanye kazi asiingiliwe. Namuliza huyu mzee ana lengo gani kazi yake imeisha ipo kwa ngazi nyingine ye kamaliza na aliachwa huru.nini kinamwasha huyu mzee kutwa yuko mikutano hadi anadiriki kusema atapambana mtaani na wajumbe wa bmk . Mzee wewe unamalengo gani hasa au sbb uliyoyapika wameyatoa. Mzee tulia upumzike zama zako zimepita,acha tuvurugia nchi yetu

Akili za komba zote kaficha tumboni,unategemea angesema nini?
 
Mlitegemea warioba anyamaze kimya kwa madudu ynayofanywa na magamba kwa makusudi
 
Back
Top Bottom