Tudai Haki
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 315
- 82
kibe
1. Warioba ni raia wa tanzania
2. Ameishawahi kuwa waziri mkuu n.k, so ni mmoja wa fathers of this nation,(kubali kataa)
3. Hoja za warioba zina mashiko na lazima uwe punguani kubishana naye japo kiduchu
4. Warioba kama mzalendo wa kweli hatakaa kimya, hata akifa ataendelea kusema tu, kama ilivyo kwa nyerere
the best way ku deal na warioba ni kufumba macho na kuamua mambo yenu huko, pasi kumhusisha; ukija kama hivi ulivyokuja utaona kabisa unavyoona aibu
kizazi cha sasa cha ccm ni kizazi kijinga kabisa kupata kutokea katika historia ya nchi hii.
umemaliza mkuu sina cha kuongezea kula like