Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

Twendeni
Chuma kipumzike sasa... Imetosha.
 
WAzee kama hawa tunahitaji ushauri wao wauseme mara kwa mara.kuanguka hiyo ni kawaida kwa mtu ukiwa na umri mkubwa kama wake.Hata wewe inaweza kukukuta
 
Twende kwanza Zanzibar tukazike, mengine yatajulikana baadaye. Ila hadi kufikia 2030 wanaccm watauana sana.
 
Apumzike tu umri umeenda hii dunia wote tunapita.
 
Kwanza pole mzee Warioba

Lkn tunasikia uko hospital kagoma kuzinduka
Mpaka aende Yule Cheupe Tibaijuka akamshike mkono❗️❗️
 
Apate unafuu mapema , wasije kuwa wamecheza rough hao vibaka wa CCM ukizingatia huo mkutano maccm yalikuwemo hapo wakiongozwa na zee la hovyp Wasirra Zinjathropus.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…