Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,147
- 26,465
hiyo hapo juu.Video tafadhali
Endelea kunena kwa lugha, apone.Vijana wa Mafwele wameshafanya yao.
Kuna nini huko?Tupo kizim
Watanzania ni wapumbavu sana..nini ambacho Mzee Warioba hajakisema? Hakuna haja ya kusumbua Mzee na umri huo..vijana chukua hatua, acheni Mzee Warioba abaki kwake apumzike, mnamualika alika aje aseme nini vyote alishasema, fanyia kazi yale alishasema you idiots!Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini, mezee Warioba akiongea ameanguka jukwaani akitoa mada kuhusu katiba na Muungano.
Haijulikani sababu. ya kuanguka japo , wanasema mic ilikuwa na unga unga, , lakini ni story tu. Yupo Serena Hotel.Maombi yenu wadau.
Iteni ambulance apelekwe hospital, ninyi hamna uwezo wa kupa huduma.
Piga sala wewe msabatoTwendeni KiziMkazi Kwanza
Amen , amen!Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa Nchini, mezee Warioba akiongea ameanguka jukwaani akitoa mada kuhusu katiba na Muungano.
Haijulikani sababu.ya kuanguka. Yupo Serena Hotel.Maombi yenu wadau.
Iteni ambulance apelekwe hospital, ninyi hamna uwezo wa kupa huduma.
Tayari amesimama, hope atakuwa sawa
Mzee Ameir kafarikiKuna nini huko?
Yeye mwenyewe huyo Mzee ndo anavyotaka.Watanzania ni wapumbavu sana..nini ambacho Mzee Warioba hajakisema? Hakuna haja ya kusumbua Mzee na umri huo..vijana chukua hatua, acheni Mzee Warioba abaki kwake apumzike, mnamualika alika aje aseme nini vyote alishasema, fanyia kazi yale alishasema you idiots!
Namuombea sana maana ndiye Mzee pekee aliyebaki mwenye akili.Endelea kunena kwa lugha, apone.