Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Aliyekuwa msanii wa kaole MZEE PWAGU amefariki dunia nusu saa iliyopita katika hospital ya Amana jijini Dar es salaam. Habari kamili mtaendelea kufahamiswa....! MUNGU amlaze mahari pema peponi....!
Rajab Kibwana Hatia al maaruf Mzee Pwagu
Rajab Kibwana Hatia al maaruf Mzee Pwagu