johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Rais Mwinyi anasema alijutia namna alivyoliachia bunge hadi likafikia hatua ya kupiga kura na kuwaunga mkono kundi la wabunge waliojulikana kama G55 waliodai Serikali ya Tanganyika.
Lakini hatimaye jambo hili lilienda kukwamishwa na vikao vikuu vya CCM na kutupiliwa mbali.
Kadhalika Mwinyi anaukumbuka ubaguzi uliojitokeza wakati wa uongozi wake wengine wakijiita wazawa na wengine wakidhihakiwa kuwa " maghabachori"
Hali hii ilipelekea serikali kumpa ulinzi mfanyabiashara Reginald Mengi.
Mzee Mwinyi anamtaja mchungaji Christopher Mtikila kama mwanasiasa wa upinzani aliyeisumbua sana Serikali yake.
Mungu Ibariki Tanzania.
Lakini hatimaye jambo hili lilienda kukwamishwa na vikao vikuu vya CCM na kutupiliwa mbali.
Kadhalika Mwinyi anaukumbuka ubaguzi uliojitokeza wakati wa uongozi wake wengine wakijiita wazawa na wengine wakidhihakiwa kuwa " maghabachori"
Hali hii ilipelekea serikali kumpa ulinzi mfanyabiashara Reginald Mengi.
Mzee Mwinyi anamtaja mchungaji Christopher Mtikila kama mwanasiasa wa upinzani aliyeisumbua sana Serikali yake.
Mungu Ibariki Tanzania.