johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,856
- Thread starter
- #61
Hahahaaaa....... Tuntemeke Sanga alikuwa anaishi Motel Agip!Sahv wanajadili petty issues
Ila tuntemeke sanga alikuwa mtata
Ova
Hahahaaaa....... Tuntemeke Sanga alikuwa anaishi Motel Agip!Sahv wanajadili petty issues
Ila tuntemeke sanga alikuwa mtata
Ova
Kwa sasa wabunge wa kariba hiyo huwezi kuwapata labda yule waliyempiga risasi!Alikuwa na nondo 40mm
Njelu kasaka acha
Where is mali ya mungu nowMkuu alikuwa bado kufikia level ya dikteta kamili. Aise Kuna watu walikuwa waovu walipokuwa madarakani, mfno; Bokassa, Idd Amin. Enzi za utawala wa Amini, alifuta Bunge, badala yake akawa na Baraza la kijeshi lililoamua hatma ya Jambo. Brigedia Isack Maliyamungu au Isack Lugola, alikuwa mtu wa kutisha sana, ambaye kwa mjibu wa maandishi yaliyopo, alikuwa anaua hovyo hovyo watu.
Hata Mange na wengi tu walimpigia kura kabla ajafundishwa tabia mbaya na jirani alikuwa mzuri tu2015 Mtikila alimpigia kampeni Magufuli kabla hajauawa kwa ajali!
huyo Njelu Kasaka bado yupo hai au?Alikuwa na nondo 40mm
Njelu kasaka acha
Malecela naye alikuwa mweupe kichwani, ilipaswa naye ambandike swali, simenti ukichanganya na maji unapata nini? Najua kichwa maji nyerere angejibu unapata tofali, so naye angemuuliza mbona haijawa majisimenti? Kifupi swali la nyerere halikuwa na logic kabisa.Hahaha alimuuliza malecera,moja jumlisha moja ni ngapi?akajibiwa mbili,akamwambia sasa wewe hiyo serikali tatu unazitoa wapi?
Na hii hii tanganyika iliondoka nae asubuhi na mapema kwenye ajali ambao eri mtu kafa yeye tuu na tai yake shingoniRais Mwinyi anasema alijutia namna alivyoliachia bunge hadi likafikia hatua ya kupiga kura na kuwaunga mkono kundi la wabunge waliojulikana kama G55 waliodai Serikali ya Tanganyika.
Lakini hatimaye jambo hili lilienda kukwamishwa na vikao vikuu vya CCM na kutupiliwa mbali.
Kadhalika Mwinyi anaukumbuka ubaguzi uliojitokeza wakati wa uongozi wake wengine wakijiita wazawa na wengine wakidhihakiwa kuwa " maghabachori"
Hali hii ilipelekea serikali kumpa ulinzi mfanyabiashara Reginald Mengi.
Mzee Mwinyi anamtaja mchungaji Christopher Mtikila kama mwanasiasa wa upinzani aliyeisumbua sana Serikali yake.
Mungu Ibariki Tanzania.
Huwa wanangoja wastaafu ndio wajifanye wanajutia yale waliyoyafanya .Mama Samia yeye ataandika kitabu akistaafu ndan yake atasema NAJILAUMU KWA KUMUACHIA NDUGAI KUWAKUMBATIA COVD19