Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Licha ya kuawa na wasiojulikana Mch Mtikila hakuwahi kusaliti nchi yake kama Lisu kwa Acacia.Heshima sana wanajamvi,
Mzee Ruksa katika kitabu chake amekiri wazi Mchg Mtikila aliisumbua sana Serekali yake ya awamu ya pili.
Binafsi nakumbuka Mchg Mtikila akimwaga nondo zake wakati huo zilikuwa moto Mahakamani na nje ya Mahakama.
Pamoja na usumbufu wote Mchg Mtikila hakupigwa risasi wala kufuatwa fuatwa na wasiojulikana kwa minajili ya kusitisha uhai wake.
Mungu amzidishie maisha marefu Mzee Ruksa.
Wapo viongozi waliofuatwa usipomsifu uhai wako unakuwa mashakani, wale wote waliojaribu kumkosoa au kuonyesha mapungufu yake walikula risasi mchana kweupe au walipotezwa.
Mungu amwongezee adhabu kali ikiwemo moto wa milele mwanadamu yoyote anayepanga kutoa uhai wa mwanadamu mwenzake kwasababu za kisiasa na umaarufu wa kijinga.